Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Je unaweza kuambukizwa Covid-19 kutoka kwa miili ya wafu ?

Miili ya wahanga wa Covid-19 inaweza bado kutunza virusi hai, lakini inawezekana kuwapa mazishi ya heshima au kuwazika iwapo tahadhari za kutosha zitachukuliwa?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: "Coronadamas", wanawake wanaoosha miili ya waliokufa na covid-19 Iran

Watu waliojitolea kuosha maiti maarufu kama "coronadamas" wanaendesha kazi yao katika mji wa Iran wa Qom ili kutimiza moja ya tamaduni za tangu jadi ya dini ya Kiislamu ya kumuosha maiti kabla ya kuzikwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hospitali ya India iliyoweza kuzalisha watoto 100 kutoka kwa wanawake wenye Covid-19

Timu ya madaktari 65 na wauguzi 24 imewatibu wanawake walioambukizwa virusi vya corona nchini India.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Sierra Leone kujitenga baada ya mlinzi kuambukizwa virusi

Sierra Leone mpaka sasa ina wagonjwa 43 wa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 127 Wathibitishwa kuambukizwa corona Kenya

Idadi ya maambukizi ya corona Kenya yazidi kuongezeka kila uchao

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani

Hatari ya kupata maambukizi ya Corona jijini Dar es Salaam ni kubwa sana. Licha ya kwamba taarifa hazitolewi mara kwa mara, ubalozi wa Marekani Tanzania waeleza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni kwa namna gani unaweza kuvaa barakoa yako?

Taratibu za kufuata wakati wa kuvaa barakoa kujikinga na virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19

June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wachezadensi wanaosindikiza wafu waliopenda mtandaoni

Mwaka 2017 kikundi hiki cha wachezajidensi cha Ghana wanaosindikiza wafu walipata umaarufu baada ya BBC kufanya taarifa yao, wamevuma tena wakati huu wa Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Daktari Jaz Seehra ahofia kuambukizwa

Daktari anaeshughulikia wagonjwa wa corona amesema anatarajia kupata virusi hivyo licha ya kuwa na vifaa vya kujikinga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani