Virusi vya corona: "Coronadamas", wanawake wanaoosha miili ya waliokufa na covid-19 Iran
Watu waliojitolea kuosha maiti maarufu kama "coronadamas" wanaendesha kazi yao katika mji wa Iran wa Qom ili kutimiza moja ya tamaduni za tangu jadi ya dini ya Kiislamu ya kumuosha maiti kabla ya kuzikwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya corona: Je unaweza kuambukizwa Covid-19 kutoka kwa miili ya wafu ?
Miili ya wahanga wa Covid-19 inaweza bado kutunza virusi hai, lakini inawezekana kuwapa mazishi ya heshima au kuwazika iwapo tahadhari za kutosha zitachukuliwa?
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Mwananume anayezika watu waliokufa kwa corona India
Abdul Malabari amechukua jukumu la kuzika watu waliokufa kwa virusi vya corona nchini India
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Wizara ya fedha yatuma dola bilioni 1.4 za corona kwa watu waliokufa
Wakaguzi wa serikali wabaini pesa za mpango wa kukabiliana na janga la corona zilizotumwa kwa waliokufa kimakosa
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19
June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Hospitali ya India iliyoweza kuzalisha watoto 100 kutoka kwa wanawake wenye Covid-19
Timu ya madaktari 65 na wauguzi 24 imewatibu wanawake walioambukizwa virusi vya corona nchini India.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona
Misikiti kote nchini Iran imepangiwa kufunguliwa Jumanne hatua inayowadia licha ya kwamba baadhi ya maeneo bado yanaathirika vibaya na janga la virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi Iran inavyokabiliana na corona
Iran inahofia uhaba wa vifaa vya kujikinga na virusi vya corona wakati huu ambao inakabiliwa na vikwazo vya Marekani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran
![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s640/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
Virusi vya Corona viliibuka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Watu 913 wapona virusi vya corona nchini Iran, WHO yapongeza
![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s640/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Dk Kianoush Jahanpour, Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya ya Iran alitangaza habari hiyo jana Ijumaa na kuongeza kuwa, watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Iran kufikia jana ilikuwa ni 4,747, kati ya hao 124 wamepoteza maisha kutokana na virusi hivyo lakini waliopona ni watu 913.
Dk...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania