Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Hospitali ya India iliyoweza kuzalisha watoto 100 kutoka kwa wanawake wenye Covid-19

Timu ya madaktari 65 na wauguzi 24 imewatibu wanawake walioambukizwa virusi vya corona nchini India.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China

India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je unaweza kuambukizwa Covid-19 kutoka kwa miili ya wafu ?

Miili ya wahanga wa Covid-19 inaweza bado kutunza virusi hai, lakini inawezekana kuwapa mazishi ya heshima au kuwazika iwapo tahadhari za kutosha zitachukuliwa?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: India yakumbwa na uhaba wa hospitali

Maambukizi mengi yameshuhudiwa katika mji wa Mumbai na hata kupita idadi iliyoshuhudiwa Wuhan,China ambapo maambukizi hayo yalishuhudiwa kwanza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa

Umoja wa Mataifa unaonya kuwa unyanyasaji na vurugu za kijinsia kwa wakati huu ni jambo la haraka kama matibabu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: "Coronadamas", wanawake wanaoosha miili ya waliokufa na covid-19 Iran

Watu waliojitolea kuosha maiti maarufu kama "coronadamas" wanaendesha kazi yao katika mji wa Iran wa Qom ili kutimiza moja ya tamaduni za tangu jadi ya dini ya Kiislamu ya kumuosha maiti kabla ya kuzikwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona

Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mwananume anayezika watu waliokufa kwa corona India

Abdul Malabari amechukua jukumu la kuzika watu waliokufa kwa virusi vya corona nchini India

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19

June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Hospitali za jiji kubwa zaidi Brazil São Paolo 'kuzidiwa' kwa corona

Hospitali za umma katika jiji la São Paulo zimejaa kwa 90% kwenye upande wodi za wagonjwa mahututi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani