Virusi vya corona: Hospitali ya India iliyoweza kuzalisha watoto 100 kutoka kwa wanawake wenye Covid-19
Timu ya madaktari 65 na wauguzi 24 imewatibu wanawake walioambukizwa virusi vya corona nchini India.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China
India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya corona: Je unaweza kuambukizwa Covid-19 kutoka kwa miili ya wafu ?
Miili ya wahanga wa Covid-19 inaweza bado kutunza virusi hai, lakini inawezekana kuwapa mazishi ya heshima au kuwazika iwapo tahadhari za kutosha zitachukuliwa?
5 years ago
BBCSwahili15 Jun
Virusi vya corona: India yakumbwa na uhaba wa hospitali
Maambukizi mengi yameshuhudiwa katika mji wa Mumbai na hata kupita idadi iliyoshuhudiwa Wuhan,China ambapo maambukizi hayo yalishuhudiwa kwanza.
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa
Umoja wa Mataifa unaonya kuwa unyanyasaji na vurugu za kijinsia kwa wakati huu ni jambo la haraka kama matibabu.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya corona: "Coronadamas", wanawake wanaoosha miili ya waliokufa na covid-19 Iran
Watu waliojitolea kuosha maiti maarufu kama "coronadamas" wanaendesha kazi yao katika mji wa Iran wa Qom ili kutimiza moja ya tamaduni za tangu jadi ya dini ya Kiislamu ya kumuosha maiti kabla ya kuzikwa.
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya Corona: Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
Boris Johnson anaendelea na "vipimo vya kawaida", siku 10 baada ya kugunduliwa na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Mwananume anayezika watu waliokufa kwa corona India
Abdul Malabari amechukua jukumu la kuzika watu waliokufa kwa virusi vya corona nchini India
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19
June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Hospitali za jiji kubwa zaidi Brazil São Paolo 'kuzidiwa' kwa corona
Hospitali za umma katika jiji la São Paulo zimejaa kwa 90% kwenye upande wodi za wagonjwa mahututi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania