Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Uganda yathibitisha kesi 18 za coronavirus

Uganda imeripoti kuwa na kesi mpya nne za maambukizi ya virusi vya corona na hivyo kufanya taifa hilo kuwa na jumla ya maambukizi ya wagonjwa 18.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Visa vya maambukizi ya Coronavirus vyaongezeka Kenya na Uganda

Kenya imethibitisha visa vingine saba vya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus, huku Uganda ikiandikisha visa vingine vitano

 

5 years ago

Michuzi

Coronavirus: Algeria yathibitisha kupata maambukizi

Waziri wa Afya nchini Algeria amethibitisha kwamba nchi hiyo imepokea kisa cha kwanza cha coronavirus katika taarifa iliyotolewa na runinga inayomilikuwa na serikali, ENTV Jumanne jioni.

Waziri Abdel Rahman Ben Bouzid alisema kuwa mgonjwa huyo ni mwanamume raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17, kulingana na shirika la habari la Reuters.

Mgonjwa huyo ametengwa kwa sasa.

Algeria imekuwa nchi ya pili Afrika kuthibitisha kupata mgonjwa wa virusi vya Corona.

Misri ilikuwa ya kwanza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa wagonjwa 13 wa corona

Waziri wa afya nchini Tanzania, bi. Ummy Mwalimu wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza

Waziri wa afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema aliingia nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa KIA.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha wagonjwa 19 wa virusi vya corona

Mamlaka za Tanzania zathibitisha wagonjwa wapya watano.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yathibitisha mtu wakwanza amepona kabisa covid-19

''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona

Kisa cha kwanza cha virusi vya Corona kimethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Msemaji wa wizara ya Afya amesema Jumanne.

 

5 years ago

BBC

Coronavirus: How sex workers are surviving in Uganda and Nigeria

While African governments give aid to their citizens during the Covid-19 pandemic, sex workers have seemingly been forgotten.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani