Coronavirus: Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19
Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8RpFGCKlH5U/XoQ1NrmrOnI/AAAAAAALlus/YIGsYG-krVkwly6x5acjpgIUtW2QErEbwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111493142_gettyimages-1125689397.jpg)
Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RpFGCKlH5U/XoQ1NrmrOnI/AAAAAAALlus/YIGsYG-krVkwly6x5acjpgIUtW2QErEbwCLcBGAsYHQ/s640/_111493142_gettyimages-1125689397.jpg)
Kupitia matangazo ya televisheni, alisema kuwa wagonjwa wote wapya walikuwa karantini baada ya kurejea kutoa ughaibuni , ingawa hakueleza afya zao zikoje kwa sasa na walikuwa wametoka taifa gani.
Mara nyingi kwaya hiyo huwa inatumbuiza katika nchi za ughaibuni kama Marekani, Canada na Uingereza.
Mpaka sasa Uganda imethibitisha...
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa wagonjwa 13 wa corona
Waziri wa afya nchini Tanzania, bi. Ummy Mwalimu wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha wagonjwa 19 wa virusi vya corona
Mamlaka za Tanzania zathibitisha wagonjwa wapya watano.
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Uganda yathibitisha kesi 18 za coronavirus
Uganda imeripoti kuwa na kesi mpya nne za maambukizi ya virusi vya corona na hivyo kufanya taifa hilo kuwa na jumla ya maambukizi ya wagonjwa 18.
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Kenya yathibitisha mtu wakwanza amepona kabisa covid-19
''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa.
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Sudan Kusini yathibitisha kuwa na mgonjwa wa COVID-19
Rais wa Sudan Kusini Dk. Riek Machar anazungumza na waandishi wa habari mjini Juba .
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza
Waziri wa afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema aliingia nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa KIA.
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya
Katibu wa Wizara ya Afya Mercy Mwangangi ametangaza Ijumaa kuwa idadi ya waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Kenya imeongezeka na kufikia 2,474.
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Coronavirus: Jinsi Madaktari wanavyokumbana na ubaguzi wakitibu wagonjwa wa Covid-19
Huku watu wengi wakisufu madaktari na wauguzi, Covid-19 imewafanywa baadhi yao kubaguliwa na wagonjwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania