Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RpFGCKlH5U/XoQ1NrmrOnI/AAAAAAALlus/YIGsYG-krVkwly6x5acjpgIUtW2QErEbwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111493142_gettyimages-1125689397.jpg)
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza visa vipya 11 vya ugonjwa wa Covid-19 nchini humo, wote wakiwa wanakwaya wa kwaya maarufu nchini humo 'Watoto Children's Choir.
Kupitia matangazo ya televisheni, alisema kuwa wagonjwa wote wapya walikuwa karantini baada ya kurejea kutoa ughaibuni , ingawa hakueleza afya zao zikoje kwa sasa na walikuwa wametoka taifa gani.
Mara nyingi kwaya hiyo huwa inatumbuiza katika nchi za ughaibuni kama Marekani, Canada na Uingereza.
Mpaka sasa Uganda imethibitisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa wagonjwa 13 wa corona
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Sudan Kusini yathibitisha kuwa na mgonjwa wa COVID-19
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Kenya yathibitisha wagonjwa 23 wapya
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yathibitisha wagonjwa 29 wapya
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha wagonjwa 19 wa virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Kenya yathibitisha mtu wakwanza amepona kabisa covid-19
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Kenya yathibitisha wagonjwa wapya 16 wa corona