Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Kenya yathibitisha mtu wakwanza amepona kabisa covid-19

''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtu wa kwanza akutwa na virusi hivyo Kenya

Kisa cha kwanza cha virusi vya corona chathibitishwa Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anasema 'amepona corona'

Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta, ambaye alipatikana na coronavirus Machi 13, anamesema anajihisi "vyema sasa" na dalili zote zimeisha

 

5 years ago

Michuzi

Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza visa vipya 11 vya ugonjwa wa Covid-19 nchini humo, wote wakiwa wanakwaya wa kwaya maarufu nchini humo 'Watoto Children's Choir.

Kupitia matangazo ya televisheni, alisema kuwa wagonjwa wote wapya walikuwa karantini baada ya kurejea kutoa ughaibuni , ingawa hakueleza afya zao zikoje kwa sasa na walikuwa wametoka taifa gani.

Mara nyingi kwaya hiyo huwa inatumbuiza katika nchi za ughaibuni kama Marekani, Canada na Uingereza.

Mpaka sasa Uganda imethibitisha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uganda yathibitisha kesi 18 za coronavirus

Uganda imeripoti kuwa na kesi mpya nne za maambukizi ya virusi vya corona na hivyo kufanya taifa hilo kuwa na jumla ya maambukizi ya wagonjwa 18.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Sudan Kusini yathibitisha kuwa na mgonjwa wa COVID-19

Rais wa Sudan Kusini Dk. Riek Machar anazungumza na waandishi wa habari mjini Juba .

 

5 years ago

Michuzi

Coronavirus: Algeria yathibitisha kupata maambukizi

Waziri wa Afya nchini Algeria amethibitisha kwamba nchi hiyo imepokea kisa cha kwanza cha coronavirus katika taarifa iliyotolewa na runinga inayomilikuwa na serikali, ENTV Jumanne jioni.

Waziri Abdel Rahman Ben Bouzid alisema kuwa mgonjwa huyo ni mwanamume raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17, kulingana na shirika la habari la Reuters.

Mgonjwa huyo ametengwa kwa sasa.

Algeria imekuwa nchi ya pili Afrika kuthibitisha kupata mgonjwa wa virusi vya Corona.

Misri ilikuwa ya kwanza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa wagonjwa 13 wa corona

Waziri wa afya nchini Tanzania, bi. Ummy Mwalimu wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza

Waziri wa afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema aliingia nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa KIA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani