Coronavirus: Kenya yathibitisha mtu wakwanza amepona kabisa covid-19
''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19
Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza akutwa na virusi hivyo Kenya
Kisa cha kwanza cha virusi vya corona chathibitishwa Kenya
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Coronavirus: Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anasema 'amepona corona'
Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta, ambaye alipatikana na coronavirus Machi 13, anamesema anajihisi "vyema sasa" na dalili zote zimeisha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8RpFGCKlH5U/XoQ1NrmrOnI/AAAAAAALlus/YIGsYG-krVkwly6x5acjpgIUtW2QErEbwCLcBGAsYHQ/s72-c/_111493142_gettyimages-1125689397.jpg)
Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RpFGCKlH5U/XoQ1NrmrOnI/AAAAAAALlus/YIGsYG-krVkwly6x5acjpgIUtW2QErEbwCLcBGAsYHQ/s640/_111493142_gettyimages-1125689397.jpg)
Kupitia matangazo ya televisheni, alisema kuwa wagonjwa wote wapya walikuwa karantini baada ya kurejea kutoa ughaibuni , ingawa hakueleza afya zao zikoje kwa sasa na walikuwa wametoka taifa gani.
Mara nyingi kwaya hiyo huwa inatumbuiza katika nchi za ughaibuni kama Marekani, Canada na Uingereza.
Mpaka sasa Uganda imethibitisha...
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Coronavirus: Uganda yathibitisha kesi 18 za coronavirus
Uganda imeripoti kuwa na kesi mpya nne za maambukizi ya virusi vya corona na hivyo kufanya taifa hilo kuwa na jumla ya maambukizi ya wagonjwa 18.
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Sudan Kusini yathibitisha kuwa na mgonjwa wa COVID-19
Rais wa Sudan Kusini Dk. Riek Machar anazungumza na waandishi wa habari mjini Juba .
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uKe3PgjqYUw/XlbWpwJvTnI/AAAAAAALfog/DfI79xb-cIgUBHULvM1mW0SGvZgYFjlFQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111042699_coronavirus976.jpg)
Coronavirus: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-uKe3PgjqYUw/XlbWpwJvTnI/AAAAAAALfog/DfI79xb-cIgUBHULvM1mW0SGvZgYFjlFQCLcBGAsYHQ/s640/_111042699_coronavirus976.jpg)
Waziri Abdel Rahman Ben Bouzid alisema kuwa mgonjwa huyo ni mwanamume raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17, kulingana na shirika la habari la Reuters.
Mgonjwa huyo ametengwa kwa sasa.
Algeria imekuwa nchi ya pili Afrika kuthibitisha kupata mgonjwa wa virusi vya Corona.
Misri ilikuwa ya kwanza...
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa wagonjwa 13 wa corona
Waziri wa afya nchini Tanzania, bi. Ummy Mwalimu wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza
Waziri wa afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema aliingia nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa KIA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania