Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Jinsi Madaktari wanavyokumbana na ubaguzi wakitibu wagonjwa wa Covid-19

Huku watu wengi wakisufu madaktari na wauguzi, Covid-19 imewafanywa baadhi yao kubaguliwa na wagonjwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uganda yathibitisha kuwa na wagonjwa 44 wa Covid 19

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Chumba cha wagonjwa mahututi ni nini na ni wagonjwa gani wanastahili kukitumia?

ICU ni wodi maalum inayotoa huduma kwa wagonjwa ambao wako katika hali mbaya na watafuatiliwa kwa karibu lakini chumba hiki kikoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Makoti ya madaktari yanahatarisha afya za wagonjwa

>Historia inaonyesha kuwa madaktari walianza kuvaa makoti kama vazi la kazi takribani miaka 100 iliyopita. Kuanzia miaka ya 1800 hadi kufikia mwaka 1915 lilikuwa ni jambo la kawaida kwa daktari kuvaa koti anapowahudumia wagonjwa.

 

10 years ago

Vijimambo

NHIF YAPELEKA MADAKTARI MKOANI MARA, WAWAFANYIA UPASUAJI WAGONJWA MBALIMBALI

Kaimu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Beatus Chijumba akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye makao makuu ya shirika hilo wakati alipotangaza kampeni ya siku 60 kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kujiuga na Mfuko wa Bima ya Afya katika Halmashauri zipatazo 54 nchini Katikati ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti na mwisho ni Ali Othman Mkuu wa kitengo cha Mifumo ya Mawasiliano. Kaimu Mkurugenzi mkuu na...

 

5 years ago

CCM Blog

DC MPYA ARUSHA AWAAMBIA MADAKTARI JINSI SERIKALI YA JPM ILIVYOLETA MAPINDUZI KWENYE SEKTA YA AFYA

Arusha, TanzaniaMKUU mpya wa Wilaya ya Arusha, Kenan Laban Kihongosi amesema Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli imeleta mapinduzi makubwa na yanayostahili kupongezwa katika sekta ya afya hapa nchini.
DC Kihongosi aliyasema hayo juzi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi  kwa madaktari na watoa huduma ya afya ambayo aliyafungua kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta.
Mafunzo hayo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mameya magharibi mwa Ufaransa wamepiga marufuku watu kuwa wagonjwa kutokana na ukosefu wa madaktari

Hatua hiyo isio ya kawaida iliotekelezwa na mameya tisa ina lengo la kutoa hamasa dhidi ya hali mbaya ya afya nchini humo.

 

5 years ago

CNBCAfrica.Com

Coronavirus – Rwanda: Update on COVID-19 Coronavirus - 7 April 2020

Coronavirus – Rwanda: Update on COVID-19 Coronavirus - 7 April 2020  CNBCAfrica.comSan Diego Coronavirus Updates: April 7, 2020 (10 pm)  CBS 8 San DiegoView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi msako wa watu waliokaribiana na wagonjwa unavyofanyika duniani

Mamilioni ya watu Uingereza hivi karibuni watahitajika kupakua programu ya kusaidia kupunguza usambaaji wa virusi vya corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani