Mameya magharibi mwa Ufaransa wamepiga marufuku watu kuwa wagonjwa kutokana na ukosefu wa madaktari
Hatua hiyo isio ya kawaida iliotekelezwa na mameya tisa ina lengo la kutoa hamasa dhidi ya hali mbaya ya afya nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKenya imethibitisha kuwa na wagonjwa wapya 16 wa corona, baada ya kuwafanyia vipimo watu 530.
Hadi sasa Kenya imefikisha idadi ya watu 142 wenye maambukizi ya Corona.
Wizara ya afya nchini Kenya imetaarifu kuwa katika visa vipya 16, raia wa Kenya ni 15 na mmoja anatokea Nigeria.
Raia 11 kati ya hao wana historia ya kusafiri nje ya nchi ilihali 5 ni raia wa eneo.
Watu 12 ni kutoka mji mkuu wa Kenya Nairobi, wengine watatu wanaishi Mombasa 3 na mmoja kutoka Kilifi.
Waliokutwa na maambukizi mapya ni wennye umri kati ya miaka 22 na 66, wanaume ni tisa na wanawake saba.
Kati ya...
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Wasunni wateka Anbar, Magharibi mwa Iraq
Wanamgambo wa Kisunni nchini Iraq wamechukuwa uthibiti kamili wa mipaka yote ya taifa hilo na mataifa ya Syria na Jordan.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Madaktari Watanzania waliokwenda kukabiliana na ebola Afrika Magharibi
Unaposikia ugonjwa wa ebola, ni sawa na kusikia sauti ya mauti. Ugonjwa huu ambao unaliandama eneo la Afrika Magharibi umesababisha vifo vya maelfu ya watu na hata kuuingiza ulimwengu kwenye wasiwasi mkubwa.
10 years ago
VijimamboMaalim Seif aendelea na ziara ya kutembelea wagonjwa Mkoa wa Mjini Magharibi
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Udini,chuki marufuku,Ufaransa
Serikali ya Ufaransa imesema hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watu watakaobainika kujihusisha na ugaidi na kueneza chuki.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Utafiti: Makoti ya madaktari yanahatarisha afya za wagonjwa
>Historia inaonyesha kuwa madaktari walianza kuvaa makoti kama vazi la kazi takribani miaka 100 iliyopita. Kuanzia miaka ya 1800 hadi kufikia mwaka 1915 lilikuwa ni jambo la kawaida kwa daktari kuvaa koti anapowahudumia wagonjwa.
5 years ago
CCM Blog31 Mar
MADAKTARI WATATU WA KIISLAMU NI MIONGONI MWA WAHANGA WA MWANZO WALIOFARIKI KWA CORONA NCHINI UINGEREZA
![Madaktari watatu wa Kiislamu ni miongoni mwa wahanga wa mwanzo waliofariki kwa Corona nchini Uingereza](https://media.parstoday.com/image/4bv7aef2e8abbb1mjy7_800C450.jpg)
Viongozi wa serikali ya Uingereza wamesema kuwa, katika vifo vya mwanzo vilivyotokana na virusi vya Corona katika safu ya madaktari nchini humo, ni pamoja na madaktari watatu Waislamu.Taarifa iliyotolewa na maafisa wa Uingereza imebainisha kuwa, madaktari hao Waislamu waliopoteza maisha katika safu ya mwanzo ya vifo vya madaktari, ni wahajiri. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mmoja wa madaktari hao watatu wa Kiislamu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Covid-19 kabla ya kuenea virusi hivyo alikuwa...
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Coronavirus: Jinsi Madaktari wanavyokumbana na ubaguzi wakitibu wagonjwa wa Covid-19
Huku watu wengi wakisufu madaktari na wauguzi, Covid-19 imewafanywa baadhi yao kubaguliwa na wagonjwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania