Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti: Makoti ya madaktari yanahatarisha afya za wagonjwa

>Historia inaonyesha kuwa madaktari walianza kuvaa makoti kama vazi la kazi takribani miaka 100 iliyopita. Kuanzia miaka ya 1800 hadi kufikia mwaka 1915 lilikuwa ni jambo la kawaida kwa daktari kuvaa koti anapowahudumia wagonjwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA WAGONJWA WA MARADHI YA KIPIDUPINDU KATIKA KITUO CHA AFYA KARAKANA



 Baadhi ya Wagonja walifikishwa Hospitali hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu  baada ya kupata maradhi ya matumbo ya kuharisha (kipindupindu). Mwandishi wa Habari Rahma Suleiman akichukua maelezo kwa Mgonjwa aliyefika katika kituo hicho mara baada ya kupata hujambo. Naibu Waziri wa Afya  Mahmoudu Thabiti Kombo akionyesha ramani ya maeneo yanayoathiriwa zaidi na ugonjwa wa maradhi ya matumbo.Naibu Waziri wa  Afya  Mahmoudu Thabiti  Kombo akipata maelezo kwa Dkt. Dhamana  Fadhili Ramadhan...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi Madaktari wanavyokumbana na ubaguzi wakitibu wagonjwa wa Covid-19

Huku watu wengi wakisufu madaktari na wauguzi, Covid-19 imewafanywa baadhi yao kubaguliwa na wagonjwa

 

10 years ago

Vijimambo

NHIF YAPELEKA MADAKTARI MKOANI MARA, WAWAFANYIA UPASUAJI WAGONJWA MBALIMBALI

Kaimu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Beatus Chijumba akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye makao makuu ya shirika hilo wakati alipotangaza kampeni ya siku 60 kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kujiuga na Mfuko wa Bima ya Afya katika Halmashauri zipatazo 54 nchini Katikati ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti na mwisho ni Ali Othman Mkuu wa kitengo cha Mifumo ya Mawasiliano. Kaimu Mkurugenzi mkuu na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mameya magharibi mwa Ufaransa wamepiga marufuku watu kuwa wagonjwa kutokana na ukosefu wa madaktari

Hatua hiyo isio ya kawaida iliotekelezwa na mameya tisa ina lengo la kutoa hamasa dhidi ya hali mbaya ya afya nchini humo.

 

5 years ago

Michuzi

UTAFITI WA MASHINE YA KUSAIDIA KUPUMULIA KWA WAGONJWA WA COVID 19 WAENDELEA NA TANALEC


Mwenyekiti wa Mtaa wa Levolosi Seif Abdi akipokea vifaa kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo. Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akimkabidhi Mwenyekiti wa Madereva stand ya Daladala Kilombero vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona huku akifuatiliwa na Meneja msaidizi wa Tanalec Michael Mangowi Leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Sehemu ya msaada uliotolewa na Tanelec Ltd ikiwemo Ndoo 100 za maji Tiririka na Sabuni katoni 100 ikiwa ni kwa ajili ya...

 

10 years ago

GPL

DK. BILAL ASIFU JUHUDI ZA MADAKTARI KUJADILI MASUALA YA AFYA

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Stephen Kebwe, akiwa kwenye mkutano huo. Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, akizungumza jambo kwenye mkutano huo.  Mkutano ukiendelea.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Madaktari wa Marekani wawafunda wanachuo wa Chuo Afya Zanzibar

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar Ndg. Adila Hilal Vuai, akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari Diaspora kutoka Washington walioletwa na Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Washington  wakali walipofika katika Chuo cha Elimu ya Afya Zanzibar walipofika hapo kutowa Elimu ya Afya ya Saratani ya Matiti na Mano, wakiwa Zanzibar kwa uwenyeji wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).

Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hdroxychloroquine inaongeza hatari ya kifo' kwa wagonjwa wa Covid, utafiti unasema

Wagonjwa walio hospitali wenye virusi vya corona wanaotibiwa kwa dawa ya hydroxychloroquine walikuwa katika hatari ya kufa, utafiti umeonesha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani