DK. BILAL ASIFU JUHUDI ZA MADAKTARI KUJADILI MASUALA YA AFYA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.Katibu-Mkuu-Wizara-ya-Afya-na-Ustawi-wa-JamiiDkt.Donan-William-Mmbando-akizungumza-jambo-kwenye-mkutano-huo..jpg?width=650)
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Stephen Kebwe, akiwa kwenye mkutano huo. Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, akizungumza jambo kwenye mkutano huo.  Mkutano ukiendelea.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s72-c/2.jpg)
Raisi Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m1UEfSOm7_c/VDT-rfmd2kI/AAAAAAACsbM/W5x233zdww8/s1600/4.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dk. Ramadhan Dau (wa...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Rais Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la Kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi wa daraja la Kigamboni inayofadhiliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizopo Kijichi Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, ambapo ameagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
Akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya ujenzi...
11 years ago
Habarileo01 Jun
Bosi UN asifu jitihada za Kikwete sekta ya afya
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon amesifu jitihada za Rais Jakaya Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dWfdQk8Mxcs/XnTBTQ6uMRI/AAAAAAALkjI/Oaa1PplNlMEjv4CecIfBY5zNu-aL2u29wCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WATAALAM WA AFYA KUJADILI HALI YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dWfdQk8Mxcs/XnTBTQ6uMRI/AAAAAAALkjI/Oaa1PplNlMEjv4CecIfBY5zNu-aL2u29wCLcBGAsYHQ/s640/UMMY%2BCORONA.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ucTlRLkgEQE/XnTAyTsqGTI/AAAAAAALkjA/2WqDcMAcxasSVPHtaePtbbHiSR6Ucf2AACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B16.09.47.jpeg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Watendaji afya wakwamisha juhudi za DC
JUHUDI za Mkuu wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, kuhakikisha wananchi wa wilaya hiyo wanapata huduma bora za afya kupitia Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), huenda zikakwama baada...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Pinda ataka sekta binafsi kuwekeza masuala ya afya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wataalamu wa afya kuangalia namna Sekta binafsi zinaweza kuwekeza katika masuala ya afya ili kuisaidia serikali katika kusimamia na kuendesha shughuli za utoaji huduma ambazo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rycGlnSqnHA/VBgaqUi6k9I/AAAAAAAGj5M/OvkGi1coThc/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA AFRIKA KUHUSU MASUALA YA USIMAMIZI WA KODI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rycGlnSqnHA/VBgaqUi6k9I/AAAAAAAGj5M/OvkGi1coThc/s1600/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano mkuu wa tatu wa Afrika kuhusu masuala ya usimamizi wakodi uliofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 16, 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9qUBVDltHDU/VBgaswVLgCI/AAAAAAAGj5s/KuvIm9EaP3s/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi10 Sep
MDAHALO WA VYAMA VYA SIASA VIKIJADILI MASUALA LA ELIMU NA AFYA
Muda: 7:00 – 10:00am (Saa saba mchana hadi saa kumi jioni)
Mahali: Ukumbi wa Julius Nyerere International Conference Centre (JNICC) – Posta
Midahalo hii inalenga kuvipa vyama vyote fursa ya kunadi Ilani zao na kwa wananchi kuuliza maswali muhimu yatakayo pelekea maamuzi yao katika uchaguzi. Vyama vinavyoshiriki ni vile vyenye wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa...