Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watendaji afya wakwamisha juhudi za DC

JUHUDI za Mkuu wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, kuhakikisha wananchi wa wilaya hiyo wanapata huduma bora za afya kupitia Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), huenda zikakwama baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DK. BILAL ASIFU JUHUDI ZA MADAKTARI KUJADILI MASUALA YA AFYA

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Stephen Kebwe, akiwa kwenye mkutano huo. Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, akizungumza jambo kwenye mkutano huo.  Mkutano ukiendelea.…

 

9 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA SEKTA YA AFYA WAASWA KUKABILIANA NA KIPINDUPINDU

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Deo Mutasiwa asisitiza jambo jana jioni  wakati wa ufungaji wa mkutano mkuu wa  mwaka wa sekta ya afya ambao uliambatana na maadhimisho ya miaka 40  ya Mpango wa Taifa wa Chanjo  uliofanyika kwenye hoteli ya kuanzia Septemba 8 hadi 11, mwaka huu Ubungo Plaza jijini Dares Salaam.   Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Donan Mmbando na  wakipongezana mara baada ya kumaliza   jana...

 

9 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA SEKTA YA AFYA WATAKIWA KUBUNI VYANZO VYA MAPATO

Na Beatrice Lyimo – Maelezo  SERIKALI imewataka Serikali imetoa  changamoto kwa watendaji wote  afya  wa halmashauri ,mikoa wilaya kuhakikisha wanabuni mbinu mpya na  kuongeza vyanzo vya mapato ili kuweza kuendelea kuboresha huduma za sekta ya afya nchini.Aidha Serikali pia imewataka watendaji wa Idara ya Ustawi wa Jamii, kujumuisha suala la kutatua tatizo la watoto yatima kwa kuweka  katika mipango  ya sekta hiyo. Kauli hiyo imetolewa jana jioni na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa...

 

5 years ago

Michuzi

TEKNOLOJIA INAVYOSAIDIA KUKABILIANA NA UPUNGUFU WA WATENDAJI KATIKA SEKTA YA AFYA, MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Hospitali na vituo vya afya vinapambana kuongeza nguvu kazi katika sekta ya afya katika kukabiliana na janga la corona.


 Hitaji la watoa huduma za afya limekuwa kubwa kufuatia idadi kubwa ya waathirika wa virusi vya corona kwenye hospitali na vituo vya afya. Mchango wa kila mmoja katika sekta ya afya unahitajika katika kuhakikisha nchi inapita salama katika kipindi hiki kigumu.
 Baadhi ya nchi zimekwenda mbali kwa kuwarudisha madaktari wastaafu na hata kuwatumia walikuwa katika mwaka wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo wakwamisha abiria Tazara

Zaidi ya abiria 200 waliokuwa wakisafiri kwa kutumia treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wamekwama jijini hapa baada ya wafanyakazi wa upande wa Tanzania kugoma kwa siku ya pili mfululizo kwa madai hadi Serikali itakapowalipa mishahara yao ya Februari hadi Mei.

 

10 years ago

Habarileo

Urasimu wakwamisha wakimbiza wawekezaji

Godfrey SimbeyeMKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye amesema kuwa urasimu mkubwa uliopo katika kusimamia masuala ya uwekekezaji umechangia kuwakimbiza wawekezaji.

 

11 years ago

GPL

UKATA WAKWAMISHA KAZI ZA DUDE

Na Gladness Mallya
HALI ya uchumi ya mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ imemkwamisha mwigizaji huyo ashindwe kurekodi tamthiliya yake. Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na paparazi wetu, Dude alikiri kuwa uchumi umemkalia vibaya ambapo aliruhusiwa kupewa muda wa hewani katika Runinga ya East Africa lakini akashindwa kushuti kutokana na majukumu ya kifamilia kumuandama. “Daa we acha tu, mwezi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Upotoshaji wa takwimu wakwamisha maendeleo

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango ya Zanzibar, Amina ShaabanUKOSEFU wa takwimu sahihi katika masuala mbalimbali umeelezwa kuchangia kutopiga hatua kwenye mipango ya kimaendeleo inayopangwa na serikali juu ya wananchi.

 

10 years ago

Mtanzania

Mawaziri wakwamisha Bunge la Katiba

Bunge

Bunge

Esther Mbussi na Fredy Azzah, Dodoma

WAKATI vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vikiendelea mjini Dodoma, uamuzi wa kamati umeshindwa kuafikiwa, MTANZANIA limebaini.

Kutokana na hali hiyo, idadi kubwa ya wajumbe kutoka Tanzania bara wengi wao wakiwa mawaziri, hawahudhurii vikao vya kamati vinavyoendelea.

Mbali na wajumbe hao, imebainika pia zaidi ya wajumbe 80 ambao hawatoki kwenye kundi linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) hawajaripoti kwenye Bunge hilo tangu lilipoanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani