Wasunni wateka Anbar, Magharibi mwa Iraq
Wanamgambo wa Kisunni nchini Iraq wamechukuwa uthibiti kamili wa mipaka yote ya taifa hilo na mataifa ya Syria na Jordan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Iraq:Serikali mpya kushirikisha wasunni
Msemaji wa chama cha waziri mkuu nchini Iraq ameimbia BBC kwamba Nouri al Malik atabuni serikali itakayoshirikisha kila mtu
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Wapiganaji waislamu wateka mikoa Iraq
Wapiganaji wa Islamic State of Iraq na Levant kutoka Syria wameteka mikoa kadhaa nchini ambapo maelfu ya watu wametoroka kwao.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mameya magharibi mwa Ufaransa wamepiga marufuku watu kuwa wagonjwa kutokana na ukosefu wa madaktari
Hatua hiyo isio ya kawaida iliotekelezwa na mameya tisa ina lengo la kutoa hamasa dhidi ya hali mbaya ya afya nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Wanajeshi wa Ukraine wateka Sloviansk
Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ametaja utekaji wa mji wa Sloviansk mashariki mwa Ukraine kama mafanikio makubwa.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
KCCA wateka Kombe Mapinduzi
Bao la mshambuliaji Herman Waaswa lilitosha kuipa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi timu ya KCCA ya Uganda baada ya kuichapa Simba 1-0 katika mechi ya fainali iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8N74TTS3iFiSQH00V127XaimZzsa-gTtxKQFtyo2sz3*QGoZc2ENXKYMU8MmacfCbCJDwHGTD8*D*G5JfAncNf/simba.jpg?width=650)
Friends of Simba wateka beki Azam
Joram Mgeveke akisani mkataba kujiunga na timu ya Simba mbele ya mwenyekiti wa kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Pope. Na Sweetbert Lukonge
KAMATI ya Usajili ya Simba iliyopo chini ya mwenyekiti, Zacharia Hans Pope, imeizidi kete Azam FC baada ya kumsajili beki wa kati wa Lipuli ya Iringa na timu ya taifa, Taifa Stars, Joram Nasson Mgezeke. Mgezeke ambaye amekuwa chaguo pekee la Kocha Mholanzi wa Taifa Stars, Mart Nooij...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Majambazi wateka magari, wapora mali
Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi walifunga Barabara ya Morogoro - Iringa katika eneo la Njia Panda ya Kilosa na baadaye kuteka magari na kupora mali za watu.
11 years ago
BBCSwahili12 Apr
Wafuasi wa Urusi Ukraine wateka kituo
Ofisi ya polisi katika mji mmoja wa mashariki mwa Ukraine yavamiwa na wafuasi wa Urusi waliovaa sare ya jeshi
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Wapiganaji wateka wizara za serikali Libya
Wapiganaji nchini Libya wameteka ofisi na majengo ya wizara za serikali mjini Tripoli na kuwazuia wafanyakazi kuingia ofisini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania