Friends of Simba wateka beki Azam

Joram Mgeveke akisani mkataba kujiunga na timu ya Simba mbele ya mwenyekiti wa kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Pope. Na Sweetbert Lukonge KAMATI ya Usajili ya Simba iliyopo chini ya mwenyekiti, Zacharia Hans Pope, imeizidi kete Azam FC baada ya kumsajili beki wa kati wa Lipuli ya Iringa na timu ya taifa, Taifa Stars, Joram Nasson Mgezeke. Mgezeke ambaye amekuwa chaguo pekee la Kocha Mholanzi wa Taifa Stars, Mart Nooij...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
FRIENDS OF SIMBA: WABAYA WA KILA JAMBO, DAWA YA MWENDO SIMBA
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Beki tatizo Yanga, Azam
10 years ago
Michuzi
Friends Rangers kuwavaa Azam

Ofisa habari wa klabu hiyo Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo utafanyika asubuhi kuanzia saa 2, asubuhi.
Kigundula alisema kuwa wameshukuru kupata mechi hiyo ambayo itaendelea kuiweka timu yao katika mazingira mazuri kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi daraja la kwanza.
Alisema kuwa kucheza na timu kama Azam...
10 years ago
GPL
Beki awaita Simba Nigeria
11 years ago
GPL
TFF yamfungia beki Simba
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Beki Simba atua African Lyon
KLABU ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam, ambayo inashiriki Ligi Daraja la Kwanza Taifa (FDL), imemsajili beki wa Simba, Hassan Isihaka kwa mkataba wa miaka mitatu wenye thamani...
10 years ago
GPL
Coutinho awaletea Simba... beki Mbrazili