Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FRIENDS OF SIMBA: WABAYA WA KILA JAMBO, DAWA YA MWENDO SIMBA

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope. Na Saleh Ally
NILIWAHI kuzungumzia kuhusiana na Coastal Union kuachana na malumbano yasiyokuwa na sababu dhidi ya aliyekuwa mdhamini wao, Nassor Bin Slum ambaye ni mnazi mkubwa wa timu hiyo. Azim Dewji. Mwisho Bin Slum ameondoka na kuamua kufanya mambo yake kibiashara zaidi, sasa kampuni yake kupitia matairi na betri za magari, inadhamini… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wabaya wa Yanga wasaini Simba

Wachezaji wawili kutoka Uganda, beki Juku Musheed na mshambuliaji Simon Sserunkuma waliong’ara katika mechi dhidi ya Yanga juzi, wamesaini mkataba wa kuichezea Simba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Friends of Simba wachukua timu

WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi nchini ikizidi kupanda, Kundi la Marafiki wa Simba ‘Friends of Simba’ limeutaka uongozi unaokaribia kumaliza muda wake kulikabidhi kikosi ili kuhakikisha wanaibuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkwabi aiteka Friends of Simba

MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa Simba, Swedi Nkwabi, amezidi kuiteka klabu hiyo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam baada ya kuibua mgawanyiko katika...

 

11 years ago

GPL

Friends of Simba wamteka Okwi

Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Nicodemus Jonas
SAA chache kabla ya mechi ya watani, Yanga dhidi ya Simba, kama kawaida vituko vinazidi kuongezeka na mshambuliaji Emmanuel Okwi anazidi kuwa tatizo. Okwi alikuwa acheze mechi ya leo, akasusa kwa kuwa anawadai Yanga dola 40,000 (Sh milioni 64), lakini sasa Friends of Simba wameingilia na kumteka mawazo zaidi kuwa hana haja ya kucheza mechi ya leo, ataangushiwa mzigo wakipoteza....

 

10 years ago

Mwananchi

Friends of Simba watia ubani

Kundi la wanachama matajiri wa klabu ya Simba, Friends of Simba limevamia mazoezi ya klabu hiyo na kutia ubani maandalizi ya kuikabili Azam kesho.

 

11 years ago

GPL

Wambura Vs Friends of Simba ni vita ya dunia

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.
Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Kamati ya Rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumrejesha Michael Wambura katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Simba kuwania urais, mgombea huyo ameibuka na kutoa mazito yaliyo moyoni. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini, Wambura alieleza...

 

11 years ago

GPL

Friends of Simba wateka beki Azam

Joram Mgeveke akisani mkataba kujiunga na timu ya Simba mbele ya mwenyekiti wa kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Pope. Na Sweetbert Lukonge
KAMATI ya Usajili ya Simba iliyopo chini ya mwenyekiti, Zacharia Hans Pope, imeizidi kete Azam FC baada ya kumsajili beki wa kati wa Lipuli ya Iringa na timu ya taifa, Taifa Stars, Joram Nasson Mgezeke. Mgezeke ambaye amekuwa chaguo pekee la Kocha Mholanzi wa Taifa Stars, Mart Nooij...

 

9 years ago

Habarileo

Prisons wazua jambo Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema pamoja na kipigo walichopokea kutoka kwa Prisons Jumatano iliyopita, lakini bado ana matumaini ya kubeba ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu na kwamba kimempa nafasi kukifanyia mabadiliko makubwa kikosi chake.

 

11 years ago

GPL

Friends of Simba wamzuia Tambwe kwenda Yanga

Sweetbert Lukonge na Martha Mboma
HATIMAYE mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye hivi karibuni alihusishwa kutaka kuikimbia klabu hiyo na kwenda kujiunga na timu nyingine za ligi kuu, amepigwa pini na klabu hiyo baada ya kuhakikishiwa neema msimu ujao. Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Tambwe ambaye ni raia ya Burundi na ambaye ndiye amekuwa msaada mkubwa wa timu hiyo msimu huu baada ya kuifungia mabao 19 kweney...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani