Friends of Simba wamzuia Tambwe kwenda Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0REptwiaIYRmNrQACuiRA58jzx9naU8q8xZrFkvFySPf6xf4ryh0aM5bSHT7VhzZ3Vh8rZsWc1*b9-isr9WdDE/1copy.jpg?width=650)
Sweetbert Lukonge na Martha Mboma HATIMAYE mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye hivi karibuni alihusishwa kutaka kuikimbia klabu hiyo na kwenda kujiunga na timu nyingine za ligi kuu, amepigwa pini na klabu hiyo baada ya kuhakikishiwa neema msimu ujao. Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Tambwe ambaye ni raia ya Burundi na ambaye ndiye amekuwa msaada mkubwa wa timu hiyo msimu huu baada ya kuifungia mabao 19 kweney...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Dec
YANGA YA MNASA TAMBWE ALIEACHWA NA SIMBA
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/12/tambwe-yanga.jpg?resize=480%2C480)
Taarifa zilizoingia kwenye mtandao huu dakika chache zilizopita ni kwamba Dar-es-salaam Young Africans imemsajili mshambuliaji wa Simba aliyeachwa Amisi Tambwe .Yanga imemsajili Tambwe dakika chache zilizopita ambapo anakuja kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Hamis Kiiza ambaye amejiunga na URA ya Uganda .
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/12/tambwe.jpg?resize=1600%2C1074)
Tambwe alikuwa mfungaji bora wa ligi msimu uliopita ambapo alifunga mabao 19 kwenye ligi lakini alishindwa kuwika msimu huu baada ya...
9 years ago
Mwananchi20 Dec
LIGI KUU: Tambwe aipaisha Yanga, Simba yashikwa
10 years ago
GPLAMISSI TAMBWE ATUA YANGA, SIMBA YAMNASA BEKI HASSAN KESSY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YiPuhdxzpG2fJAG5cZupibr-8BC9lD7CrsUaFwDHNNhTq6kwuPsUWHoi*mkrmRIKeuImrKafvPP0NFAVsNsIjgT/zii.jpg?width=650)
FRIENDS OF SIMBA: WABAYA WA KILA JAMBO, DAWA YA MWENDO SIMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1ygck9z1r4AOCEK6EexWnqGaQ25B3kx5Js9C4tHDWGGHlo8cuMN90bBGRpV6xnzcxfkTrTH91b1qmn05o6ia5KAubFcwksgD/11.jpg?width=650)
Friends of Simba wamteka Okwi
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Nkwabi aiteka Friends of Simba
MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa Simba, Swedi Nkwabi, amezidi kuiteka klabu hiyo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam baada ya kuibua mgawanyiko katika...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Friends of Simba wachukua timu
WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi nchini ikizidi kupanda, Kundi la Marafiki wa Simba ‘Friends of Simba’ limeutaka uongozi unaokaribia kumaliza muda wake kulikabidhi kikosi ili kuhakikisha wanaibuka...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Friends of Simba watia ubani