Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMISSI TAMBWE ATUA YANGA, SIMBA YAMNASA BEKI HASSAN KESSY

Amissi Tambwe. Mshambuliaji raia wa Burundi, Amissi Tambwe amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea klabu ya Yanga SC baada ya kutemwa na timu yake ya zamani Simba SC. Tambwe ndiye mfungaji bora wa msimu uliopita Ligi Kuu Bara baada ya kutupia mabao 19. Kessy (katikati )akisaini mkataba wa miezi 18 kuichezea Simba SC jana. Kulia ni Geofrey Nyange 'Kaburu' na kushoto ni msimamizi wa Kessy, Athuman Tippo. Wakati Tambwe… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Simba yapigwa, yamnasa Kessy

Beki wa Mtibwa, Hamis Kessy. Na Nicodemus Jonas
SIMBA imejikuta ikiwa na mwendo mbaya kuelekea kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe 2 dhidi ya Yanga Jumamosi ijayo, kwani jana Jumapili ilipata kipigo cha mabao 4-2 kutoka kwa Mtibwa Sugar, kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar. Simba imepata kipigo hicho katika mechi hiyo ya kirafiki lakini baada ya mechi hiyo iliyohudhuriwa na idadi kubwa ya mashabiki, Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

11 years ago

GPL

Yanga, Azam zagongana kwa Amissi Tambwe

Mshambiliaji  wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
NYOTA ya mshambuliaji hatari wa Simba, Amissi Tambwe inazidi kung’aa baada ya timu mbili zinazowania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu, Yanga na Azam, kuulizia huduma yake kwa ajili ya msimu ujao.…

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Yanga hakuna beki wa kunizuia

Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya kukutana uso kwa uso na Yanga, straika wa Simba, Amissi Tambwe ametamba kuwa lazima afunge bao katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Championi Ijumaa, Tambwe anayeongoza kwa mabao katika ligi hiyo akiwa amecheka na nyavu mara 19, alisema jeuri hiyo anaipata kwa sababu ukuta wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Beki Simba atua African Lyon

KLABU ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam, ambayo inashiriki Ligi Daraja la Kwanza Taifa (FDL), imemsajili beki wa Simba, Hassan Isihaka kwa mkataba wa miaka mitatu wenye thamani...

 

9 years ago

Habarileo

Nonga atua Yanga, Kessy ngoma nzito

KLABU ya Yanga imefunga usajili wa dirisha dogo jana kwa kumsajili mchezaji wa zamani wa Mbeya City Paul Nonga ambaye alikuwa akicheza katika timu ya Mwadui FC ya Shinyanga.

 

11 years ago

GPL

Beki avunja mkataba, atua Yanga

Na Martha Mboma
BEKI wa Coastal Union, Abdi Banda, amefunguka  na kusema yupo katika hatua nzuri ya kuweza kumalizana na Yanga, huku akiwa anavunja mkataba wake. Beki wa Coastal Union, Abdi Banda. Kabla ya msimu uliopita Yanga ilikuwa ikimhitaji beki huyo ambaye alipandishwa kutoka timu ya vijana ya Coastal…

 

10 years ago

Mwananchi

Beki wa Blackburn Rovers atua Yanga

Yanga imempokea beki mkongwe wa Afrika Kusini, Aaron Mokoena tayari kufanya majaribio ya kusaka nafasi ya kujiunga na mabingwa wapya Ligi Kuu Bara.

 

11 years ago

GPL

Azam: Tunamtaka Amissi Tambwe

Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Na Khadija Mngwai
BAADA ya tetesi za hapa na pale, hatimaye uongozI wa Azam FC umetangaza nia ya wazi ya kutaka kumsajili straika wa Simba, Amissi Tambwe, kwa kusema wataweka kikao na kumjadili mchezaji huyo iwapo Wekundu wa Msimbazi, watakuwa tayari kuvunja naye mkataba. Tambwe bado ana mkataba na Simba na amekuwa akihusishwa kuondoka klabuni hapo licha ya Simba kukana mara kadhaa. Katibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Amissi Tambwe amhenyesha Casillas

Kama kuna mchezaji Tanzania amekuwa akiumiza kichwa kutafuta tiba ya kumfunga kipa mpya wa Simba, Hussein Sharif ‘Casillas’, asiumize kichwa tena. Amissi Tambwe ana jibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani