Friends of Simba wachukua timu
WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi nchini ikizidi kupanda, Kundi la Marafiki wa Simba ‘Friends of Simba’ limeutaka uongozi unaokaribia kumaliza muda wake kulikabidhi kikosi ili kuhakikisha wanaibuka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLFRIENDS OF SIMBA: WABAYA WA KILA JAMBO, DAWA YA MWENDO SIMBA
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope. Na Saleh Ally
NILIWAHI kuzungumzia kuhusiana na Coastal Union kuachana na malumbano yasiyokuwa na sababu dhidi ya aliyekuwa mdhamini wao, Nassor Bin Slum ambaye ni mnazi mkubwa wa timu hiyo. Azim Dewji. Mwisho Bin Slum ameondoka na kuamua kufanya mambo yake kibiashara zaidi, sasa kampuni yake kupitia matairi na betri za magari, inadhamini… ...
11 years ago
GPLWAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE
Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. ...Akionesha alama ya tatu ambayo alisema maana yake ni pointi tatu ni muhimu kila mechi.…
5 years ago
MichuziTIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
11 years ago
GPLFriends of Simba wamteka Okwi
Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Nicodemus Jonas
SAA chache kabla ya mechi ya watani, Yanga dhidi ya Simba, kama kawaida vituko vinazidi kuongezeka na mshambuliaji Emmanuel Okwi anazidi kuwa tatizo. Okwi alikuwa acheze mechi ya leo, akasusa kwa kuwa anawadai Yanga dola 40,000 (Sh milioni 64), lakini sasa Friends of Simba wameingilia na kumteka mawazo zaidi kuwa hana haja ya kucheza mechi ya leo, ataangushiwa mzigo wakipoteza....
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Friends of Simba watia ubani
Kundi la wanachama matajiri wa klabu ya Simba, Friends of Simba limevamia mazoezi ya klabu hiyo na kutia ubani maandalizi ya kuikabili Azam kesho.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Nkwabi aiteka Friends of Simba
MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa Simba, Swedi Nkwabi, amezidi kuiteka klabu hiyo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam baada ya kuibua mgawanyiko katika...
11 years ago
GPLWambura Vs Friends of Simba ni vita ya dunia
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.
Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Kamati ya Rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumrejesha Michael Wambura katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Simba kuwania urais, mgombea huyo ameibuka na kutoa mazito yaliyo moyoni. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini, Wambura alieleza...
11 years ago
GPLFriends of Simba wateka beki Azam
Joram Mgeveke akisani mkataba kujiunga na timu ya Simba mbele ya mwenyekiti wa kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Pope. Na Sweetbert Lukonge
KAMATI ya Usajili ya Simba iliyopo chini ya mwenyekiti, Zacharia Hans Pope, imeizidi kete Azam FC baada ya kumsajili beki wa kati wa Lipuli ya Iringa na timu ya taifa, Taifa Stars, Joram Nasson Mgezeke. Mgezeke ambaye amekuwa chaguo pekee la Kocha Mholanzi wa Taifa Stars, Mart Nooij...
11 years ago
GPLFriends of Simba wamzuia Tambwe kwenda Yanga
Sweetbert Lukonge na Martha Mboma
HATIMAYE mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye hivi karibuni alihusishwa kutaka kuikimbia klabu hiyo na kwenda kujiunga na timu nyingine za ligi kuu, amepigwa pini na klabu hiyo baada ya kuhakikishiwa neema msimu ujao. Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Tambwe ambaye ni raia ya Burundi na ambaye ndiye amekuwa msaada mkubwa wa timu hiyo msimu huu baada ya kuifungia mabao 19 kweney...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania