Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura Vs Friends of Simba ni vita ya dunia

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.
Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Kamati ya Rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumrejesha Michael Wambura katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu wa Simba kuwania urais, mgombea huyo ameibuka na kutoa mazito yaliyo moyoni. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya klabu hiyo Msimbazi jijini, Wambura alieleza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FRIENDS OF SIMBA: WABAYA WA KILA JAMBO, DAWA YA MWENDO SIMBA

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope. Na Saleh Ally
NILIWAHI kuzungumzia kuhusiana na Coastal Union kuachana na malumbano yasiyokuwa na sababu dhidi ya aliyekuwa mdhamini wao, Nassor Bin Slum ambaye ni mnazi mkubwa wa timu hiyo. Azim Dewji. Mwisho Bin Slum ameondoka na kuamua kufanya mambo yake kibiashara zaidi, sasa kampuni yake kupitia matairi na betri za magari, inadhamini… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura yametimia Simba

MICHAEL Richard Wambura aliyekuwa anawania nafasi ya uenyekiti katika klabu ya Simba kupitia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, jijini Dar es Salaam, amechujwa katika mbio hizo kwa kutokuwa mwanachama....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura kimeeleweka Simba

MGOMBEA aliyeenguliwa kuwania urais wa Klabu ya Simba katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29, Michael Wambura, amerejeshwa rasmi katika kinyang’anyiro hicho baada ya kushinda rufaa yake. Wambura, alienguliwa na Kamati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkwabi aiteka Friends of Simba

MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa Simba, Swedi Nkwabi, amezidi kuiteka klabu hiyo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam baada ya kuibua mgawanyiko katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Friends of Simba watia ubani

Kundi la wanachama matajiri wa klabu ya Simba, Friends of Simba limevamia mazoezi ya klabu hiyo na kutia ubani maandalizi ya kuikabili Azam kesho.

 

11 years ago

GPL

Friends of Simba wamteka Okwi

Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Nicodemus Jonas
SAA chache kabla ya mechi ya watani, Yanga dhidi ya Simba, kama kawaida vituko vinazidi kuongezeka na mshambuliaji Emmanuel Okwi anazidi kuwa tatizo. Okwi alikuwa acheze mechi ya leo, akasusa kwa kuwa anawadai Yanga dola 40,000 (Sh milioni 64), lakini sasa Friends of Simba wameingilia na kumteka mawazo zaidi kuwa hana haja ya kucheza mechi ya leo, ataangushiwa mzigo wakipoteza....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Friends of Simba wachukua timu

WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi nchini ikizidi kupanda, Kundi la Marafiki wa Simba ‘Friends of Simba’ limeutaka uongozi unaokaribia kumaliza muda wake kulikabidhi kikosi ili kuhakikisha wanaibuka...

 

11 years ago

GPL

Wambura afukuzwa uanachama Simba

Mwanachama mkongwe wa Simba, Michael Wambura. Nicodemus Jonas na Sweetbert Lukonge
JUMLA ya wanachama 800 wa Simba, jana walimvua rasmi uanachama, mwanachama mkongwe, Michael Wambura pamoja na wenzake 70 kwa kosa la kufungua kesi katika mahakama za kiraia. Wanachama hao waliridhia kufutwa uanachama huo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Polisi, Oysterbay Dar. Wambura ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Daily News

Wambura seeks Simba presidency


Wambura seeks Simba presidency
Daily News
THE race for Simba Sports Club presidency is already gaining momentum after another influential member, Michael Wambura, picked nomination forms ready to jostle for the top position. A day after Evans Aveva, from 'Friends of Simba' wing, collected forms ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani