Beki awaita Simba Nigeria
![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgSqO7ypDtxRUvsKW-BTbKHPVUO1B0U9rp*j6j1AMFAD8uGBif9wtd07*4Uccs0wzvfbZwPOBbt*VrnmcJTmG7U/beki.jpg)
Beki wa zamani wa Simba, Komambil Keita. Na Mwandishi Wetu BEKI wa zamani wa Simba, Komambil Keita, amewaita viongozi wa klabu hiyo nchini Nigeria wakafanye mazungumzo. Keita, raia wa Mali, anakipiga nchini Nigeria katika klabu ya Highland FC na ametamba kuwa yuko katika kiwango cha juu kabisa.Akizungumza na Championi Jumatano kutoka Nigeria, Keita amesema amepata taarifa za Simba kuwa na matatizo katika safu ya ulinzi....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Apr
Rage awaita Simba kuishangilia Yanga
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2687292/highRes/993090/-/maxw/600/-/9l7j5yz/-/rage+picha.jpg)
Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.JUMAMOSI Yanga itashuka Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuivaa Etoile Du Sahel ya Tunisia katika mechi ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.Hata hivyo Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage, ameamua kuweka kando itikadi...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Loga awaita Kiiza, Okwi Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuWGt8UPx4yp65pF*x3ZoLrlSVnpPFPqv1NZJ9DuIBtKMuQmIpFN3Gx49BmFgYQxSlcHu1zQZoe4SjHiR7tC4DKc/tff.jpg)
TFF yamfungia beki Simba
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Beki Simba atua African Lyon
KLABU ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam, ambayo inashiriki Ligi Daraja la Kwanza Taifa (FDL), imemsajili beki wa Simba, Hassan Isihaka kwa mkataba wa miaka mitatu wenye thamani...
11 years ago
Mwananchi23 Jun
USAJILI: Simba SC yasajili beki wa Lipuli
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSKW4Hly7EtM-urYSp2kYZChDKYQbM*asVVOk-Ce9f3TYnN4QyZpw6AKqvBlALDUcABLKz2dbvyj5IZuzKg3nmCD/beki.gif?width=600)
Beki ataka milioni 35 asaini Simba SC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycNNxlOs3veOZmwZO8tmATmYmKSGs*5LQ-bWzKxPSo*ONzv-I3Om-2GWRZxzqaVPZ2OIMuK3V7-ORdXHy-JG1-Rj/tinyo.jpg)
Coutinho awaletea Simba... beki Mbrazili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8N74TTS3iFiSQH00V127XaimZzsa-gTtxKQFtyo2sz3*QGoZc2ENXKYMU8MmacfCbCJDwHGTD8*D*G5JfAncNf/simba.jpg?width=650)
Friends of Simba wateka beki Azam
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Beki Simba ajipa likizo timu ya Taifa
NA ZAINAB IDDY
BEKI wa Simba, Abdi Banda, amesema kuwa kwa hivi sasa hana mpango wa kuitumikia timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ hadi baada ya mwaka mmoja kutokana na majanga aliyokutana nayo akiwa na timu hiyo.
Banda hivi karibuni ameanza mazoezi na kikosi chake cha Simba, baada ya kuwa nje ya uwanja kwa kipindi kirefu kutokana na kusumbuliwa na tatizo la nyama za paja alilolipata akiwa na Taifa Stars kipindi ikijiandaa na michuano ya Afcon ilipokuwa kambini nchini Uturuki.
Akizungumza na...