Rage awaita Simba kuishangilia Yanga
Aliyekuwa Rais wa Simba Aden Rage
Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.JUMAMOSI Yanga itashuka Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuivaa Etoile Du Sahel ya Tunisia katika mechi ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.Hata hivyo Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage, ameamua kuweka kando itikadi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
10 years ago
Mtanzania06 May
Kila mmoja kuishangilia Yanga leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KUTOKANA na taratibu za mchezo wa kiungwana ‘Fair Play’, leo kila mmoja atasimama kuwapigia makofi Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Yanga SC watakapokabidhiwa mwali kwenye mchezo wao dhidi ya Azam utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini hapa kuanzia saa 11 jioni.
Yanga ilitangaza ubingwa mapema Jumatatu ya wiki iliyopita, walipoichapa Polisi Morogoro mabao 4-1 na kufikisha pointi 55 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote.
Wakati...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Bengo awaita Yanga
10 years ago
GPL
Beki awaita Simba Nigeria
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Loga awaita Kiiza, Okwi Simba
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Rage ajivua lawama Simba
11 years ago
Mwananchi30 Dec
TFF yamtambua Rage Simba