Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa Ukraine wateka Sloviansk

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko ametaja utekaji wa mji wa Sloviansk mashariki mwa Ukraine kama mafanikio makubwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa Urusi Ukraine wateka kituo

Ofisi ya polisi katika mji mmoja wa mashariki mwa Ukraine yavamiwa na wafuasi wa Urusi waliovaa sare ya jeshi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Urusi walikuwa Ukraine kimakosa

Maafisa wa Serikali ya Urusi wamesema kuwa wanajeshi wao walikuwa wamevuka mpaka wa Ukraine kimakosa

 

11 years ago

Mwananchi

KCCA wateka Kombe Mapinduzi

Bao la mshambuliaji Herman Waaswa lilitosha kuipa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi timu ya KCCA ya Uganda baada ya kuichapa Simba 1-0 katika mechi ya fainali iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

11 years ago

GPL

Friends of Simba wateka beki Azam

Joram Mgeveke akisani mkataba kujiunga na timu ya Simba mbele ya mwenyekiti wa kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Pope. Na Sweetbert Lukonge
KAMATI ya Usajili ya Simba iliyopo chini ya mwenyekiti, Zacharia Hans Pope, imeizidi kete Azam FC baada ya kumsajili beki wa kati wa Lipuli ya Iringa na timu ya taifa, Taifa Stars, Joram Nasson Mgezeke. Mgezeke ambaye amekuwa chaguo pekee la Kocha Mholanzi wa Taifa Stars, Mart Nooij...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wateka wizara za serikali Libya

Wapiganaji nchini Libya wameteka ofisi na majengo ya wizara za serikali mjini Tripoli na kuwazuia wafanyakazi kuingia ofisini

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wateka manispaa Dar es Salaam

Vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimefanikiwa kushinda kata nyingi katika jiji la Dar es Salaam na hivyo kuwa katika nafasi nzuri ya kuongoza mabaraza ya madiwani katika halmashauri za manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waislamu wateka mikoa Iraq

Wapiganaji wa Islamic State of Iraq na Levant kutoka Syria wameteka mikoa kadhaa nchini ambapo maelfu ya watu wametoroka kwao.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi wateka magari, wapora mali

Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi walifunga Barabara ya Morogoro - Iringa katika eneo la Njia Panda ya Kilosa na baadaye kuteka magari na kupora mali za watu.

 

10 years ago

StarTV

Boko Haram wateka nyara watoto.

Watoto 30 wametekwa nyara na watu wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram.

 
Watoto hao wametekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 
Tukio hili linakuja siku chache baada ya kundi hilo kuwateka wanawake na wasichana kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

 
Hadi sasa wasichana wa shule 200 waliotekwa na wanamgambo hao miezi tisa iliyopita bado hawajulikani walipo.

BBC

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani