Ukawa wateka manispaa Dar es Salaam
Vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimefanikiwa kushinda kata nyingi katika jiji la Dar es Salaam na hivyo kuwa katika nafasi nzuri ya kuongoza mabaraza ya madiwani katika halmashauri za manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmrxrd8tsxI/VECOBLlIYMI/AAAAAAAGrIo/On2h9Xo0X5c/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
manispaa za jiji la dar es salaam zaagizwa kubomoa majengo katika sehemu za wazi, kusafisha fukwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmrxrd8tsxI/VECOBLlIYMI/AAAAAAAGrIo/On2h9Xo0X5c/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uyNgiPdMt9k/VECOBWmICRI/AAAAAAAGrIc/PlsykF2kJRc/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
MichuziMBUNGE WA KIGAMBONI DK.FAUSTINE NDUGULILE AZINDUA MASHINDANO YA DIWANI CUP KATA YA KISARAWE TWO MANISPAA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-qAFLndoCtXo/Vj5-m7a9kKI/AAAAAAAAXEw/J3fCQQIoFvQ/s72-c/CHADEMA.jpg)
UKAWA YAFANYA KWELI DAR ES SALAAM
Uchaguzi wa mwaka huu umeweka historia kubwa tangu vyama vingi vilipoanza kwa
jiji la Dar es salaam kuwa na wabunge 6 wa upinzani huku ccm ikiambulia wabunge
wanne
Hilo halitoshi lakini pia UKAWA imeweza kufanikiwa kuwa na madiwani wengi kuliko CCM.
<!--[if !supportLineBreakNewLine]-->
<!--[endif]-->
WILAYA YA KINONDONI
<!--[if !supportLineBreakNewLine]-->
<!--[endif]-->
Jimbo la UBUNGO -
9 years ago
MichuziVYUMBA VYA KUPIMIA NGUO KABLA YA KUNUNULIWA KATIKA SOKO LA MCHIKICHINI MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM VILITUMIKA KUDHALILISHA WANAWAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tAGDYdNYXj4/VCnm-6B7nJI/AAAAAAAARTw/X7EI3OyUxh0/s72-c/10665162_10152749169614216_1656876658698760_n.jpg)
Maandamano ya CHADEMA, UKAWA jijini Dar es Salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-tAGDYdNYXj4/VCnm-6B7nJI/AAAAAAAARTw/X7EI3OyUxh0/s640/10665162_10152749169614216_1656876658698760_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o-HJEATioi0/VCnnATxCpeI/AAAAAAAART4/HPnHQrQywHA/s640/10614198_10152749167199216_2043680671316680957_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGfElUo5hjc/VCnnCGNNCnI/AAAAAAAARUA/JkF3beOFCUs/s640/1891193_10152749169829216_4299858991248878123_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sehoxXN0Xrg/U_DMdycnCCI/AAAAAAAGAS0/TabylNjI1wM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Wazee wa Dar es salaam wawataka UKAWA kurudi Bungeni. Na
Immaculate Makilika –MAELEZO_DAR ES SALAAM WAZEE wa Mkoa wa Dar es salaam wamewaomba Umoja wa Katiba wa Wananchi (UKAWA) kurudi Bungeni ili kuendelea na mchakato wa majadiliano ya Rasimu ya Katiba Mpya yanayoendelea. Wazee hao wamesema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wakizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya siasa nchini pamoja na Bunge la Katiba Mpya linaloendelea mjini Dodoma. Akizungumza kwa niaba ya Wazee wenzake Kepteni Mstaafu Alhaji Mohamedi Ligora , amesema kuwa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-3kQa4KfJOBI/VivliLMVOHI/AAAAAAAAW94/61vZ7xnhBbA/s72-c/10984468_1104492256251890_743656638457542269_n.jpg)
MKUTANO WA MWISHO WA KAMPENI YA URAIS WA UKAWA KATIKA VIWANJA VYA JANGWANI DAR ES SALAAM.
Mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Ndugu Edward Ngoyai Lowassa akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano mkubwa wa kufunga kampeni za Urais uliofanyika katika viwanja vya Jangwani Dar es salaam.
Pichani kutoka kushoto Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Mh Freeman Mbowe, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mh Edward Lowassa na Mgombea urais wa Zanzibar Mh
10 years ago
MichuziOfisi ya Kambi ya Upinzani Bungeni yaandaa futari wakati wa kikao cha ukawa jijini Dar es salaam
10 years ago
Michuzi07 Dec
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Akiwanadi Wagombea Uongozi Serikali za Mitaa wa UKAWA viwanja Kata ya Vijibweni Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania