Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA YAFANYA KWELI DAR ES SALAAM

Uchaguzi wa mwaka huu umeweka historia kubwa tangu vyama vingi vilipoanza kwa jiji la Dar es salaam kuwa na wabunge 6 wa upinzani huku ccm ikiambulia wabunge wanne Hilo halitoshi lakini pia UKAWA imeweza kufanikiwa kuwa na madiwani wengi kuliko CCM. <!--[if !supportLineBreakNewLine]--> <!--[endif]--> WILAYA YA KINONDONI <!--[if !supportLineBreakNewLine]--> <!--[endif]--> Jimbo la UBUNGO -

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FIVE STARS YAFANYA KWELI MWAKA MPYA 2014 DAR LIVE

Zena Mohamed wa Five Stars akiimba. Wanamuziki wa Five Stars wakiimba. Saidi Yusufu akichagiza…

 

10 years ago

Tanzania Daima

DAR ES SALAAM ZOO: Ndoto ya utotoni uliyogeuka kweli ukubwani

ENEO la Dar es salaam Zoo lilikuwa jangwa tofauti na linavyoonekana sasa, kwani ukifika eneo utakutana na uoto wa kijani na wanyama wa aina mbalimbali ambao wengine hawajapatikana kwenye hifadhi...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA YAFANYA KIKAO CHAKE CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI DAR ES SALAAM

Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi ambaye ni Katibu wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa akitoa hotuba fupi katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi TUMESHERIA.Mwenyekiti wa TUGHE tawi la TUMESHERIA Bw. Fredy Kandonga akizungumza katika kikao cha Baraza.Mwenyekiti wa Tume Mh. Jaji Aloysius Mujulizi akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA SC YAFANYA KWELI MOROGORO

Na Bertha Lumala, MorogoroBao pekee la mshambuliaji Danny Mrwanda limeizindua Yanga SC na kuipa ushindi wa tano msimu huu katika mechi pekee ya leo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Polisi Moro iliyochezwa Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.
Mrwanda alifunga bao hilo dakika ya 42 akimalizia mpira uliotemwa na kipa Tony Kavishe wa Polisi Moro kufuatia shuti kali la krosi ya beki wa pembeni kulia Juma Abdul.Hilo ni bao la tano kwa Mrwanda baada ya kufunga pia mabao manne katika...

 

9 years ago

Michuzi

VETA KANDA YA DAR ES SALAAM YAFANYA MKUTANO NA WAMILIKI PAMOJA NA WAKUU WA VYUO VYA UFUNDI STADI

 Mratibu wa Veta kanda ya Dar es Salaam Bi. Frorence Kapinga akiwakaribisha wakuu wa vyuo vya ufundi vyenye usajili wa awali wa VETA kanda ya Dar es Salaam kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Msimbazi jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es Salaam. Bw.Habibu Bukko akizungumza jambo wakati wa mkutano la wakuu wa vyuo vya ufundi pamoja na kumkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya ufunguzi wa kutano huo.  Mgeni rasmi Mwalimu Charles Philemon akizungumza na wakuu wa vyuo na...

 

9 years ago

Vijimambo

VETA KANDA YA DAR ES SALAAM YAFANYA MKUTANO NA WAMILIKI PAMOJA NA WAKUU WA VYUO VYA UFUNDI STADI

 Mratibu wa Veta kanda ya Dar es Salaam Bi. Frorence Kapinga akiwakaribisha wakuu wa vyuo vya ufundi vyenye usajili wa awali wa VETA kanda ya Dar es Salaam kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Msimbazi jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Dar es Salaam. Bw.Habibu Bukko akizungumza jambo wakati wa mkutano la wakuu wa vyuo vya ufundi pamoja na kumkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya ufunguzi wa kutano huo. 
 Mgeni rasmi Mwalimu Charles Philemon akizungumza na wakuu wa vyuo na...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAFANYA KWELI NDANI YA ESCAPE ONE SIKUKUU YA XMAS

Vijana wa Skylight Band wakionyesha manjonjo yao kwa mashabiki wa Band hiyo wakati wa sherehe za XMAS ndani ya fukwe za kiota cha Escape One walipotoa burudani ya kukata na shoka kwa mashabiki wao. Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani huku akipewa back up na Joniko Flower, Winnie pamoja na Digna Mbepera.…

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wateka manispaa Dar es Salaam

Vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimefanikiwa kushinda kata nyingi katika jiji la Dar es Salaam na hivyo kuwa katika nafasi nzuri ya kuongoza mabaraza ya madiwani katika halmashauri za manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke.

 

10 years ago

Vijimambo

Maandamano ya CHADEMA, UKAWA jijini Dar es Salaam

Wananchi wamefanya maandamano huko Manzese jijini Dar es Salaam wakipinga kile wanachokiita ni wizi unaoendelea ndani ya bunge Maalum la Katiba ikiwa ni mwendelezo wakutimiza tamko la Mwenyekiti wa CHADEMA na UKAWA la kufanya maandamano nchi nzima kupinga mchakato huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani