manispaa za jiji la dar es salaam zaagizwa kubomoa majengo katika sehemu za wazi, kusafisha fukwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmrxrd8tsxI/VECOBLlIYMI/AAAAAAAGrIo/On2h9Xo0X5c/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. George Simbachawene akizungumza na viongozi na watendaji wa Manispaa tatu za Jiji la Dar es Salaam kuhusu maagizo ya namna ya kusimamia maeneo ya wazi. Pia, ametoa siku 14 kuanzia jana Alhamisi kwa Manispaa hizo kubomoa maeneo ya wazi yaliyovamiwa ambayo yalikwishatolewa Ilani. Aidha, Naibu Waziri ametoa siku 30 kwa Manispaa ya Kinondoni kuwasilisha ofisini kwake utaratibu wa namna ya kusafisha fukwe.
![](http://1.bp.blogspot.com/-uyNgiPdMt9k/VECOBWmICRI/AAAAAAAGrIc/PlsykF2kJRc/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTIB Development Bank kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuendeleza fukwe za Coco Beach jijini Dar
Mradi huo ujulikanao kama Coco Beach Park utaboresha mazingira na kuongeza vivutio kwenye eneo hilo pendwa kwa wakazi wa Dar es Salaam. Mradi huu utatekelezwa kwa ushirikiano na wabia mbalimbali na utakuwa unamilikiwa na Manispaa ya Kinondoni.
TIB Development Bank inashirikiana na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Oid6DtJJt4w/U1TUbQq1LwI/AAAAAAAFcGU/4a3sKWzwMtk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
CHEGE,YP WALIVYOPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA DAR WALIOFURIKA KWA WINGI KWENYE FUKWE YA COCO BEACH
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oid6DtJJt4w/U1TUbQq1LwI/AAAAAAAFcGU/4a3sKWzwMtk/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZK-PWqvmq8k/U1TUZnURJvI/AAAAAAAFcGI/hGMsYZ0GWmo/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Uchaguzi Serikali za Mitaa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--5jufqTIbGQ/VI2G5XNl6vI/AAAAAAAG3J0/ntNMvRn3nq4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
Bongo516 Feb
Picha: Kampeni ya Nipe Fagio yasherehekea Valentine’s Day kwa kusafisha fukwe za Msasani
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8jHvw3blOj0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YGvjN1w1Mv4/XmTd9m0bUEI/AAAAAAALh60/BcPXuTxye_4BNAFnC_-ZdowBxuN2fsg2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI ZUNGU ASHIRIKI USAFI WA FUKWE ZA BAHARI JIJINI DAR ES SALAAM
Aliongeza kuwa anawashukuru sana kikundi cha utunzaji wa mazingira cha Save the Coast kwa...
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Watu watano wanusurika katika ajali ya gari katikati ya jiji la Dar es Salaam muda huu!
Pichani ni min bus iliyokuwa na namba T 111 AAL, ikionekana imeharibika kwa mbele baada ya kugongana na gari aina ya Noah yenye namba T446DDJ iliyogongwa ubavuni. Min Bus ilikuwa na watu wanne hata hivyo katika ajali hiyo watu hao walipatwa na mishtuko pekee na maumivu kiasi. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Gari aina ya Noah linavyoonekana ubavuni baada ya ajari hiyo.. iliyotokea katikati ya jiji katika eneo la jirani na Bnki ya NMB House na Shirika la Bima ya Taifa la Afya..
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t3jAnO9KF2A/XqhD2pFLqVI/AAAAAAAAHHk/7woE_LEhby0kTwMUvhYzuNkHE1Kg7A47ACLcBGAsYHQ/s72-c/20200403_111820.jpg)
KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KATIKA SUALA ZIMA LA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-t3jAnO9KF2A/XqhD2pFLqVI/AAAAAAAAHHk/7woE_LEhby0kTwMUvhYzuNkHE1Kg7A47ACLcBGAsYHQ/s640/20200403_111820.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BpBZ8TloquY/XqhD2rHFWAI/AAAAAAAAHHg/VFtkZ4yqMhocJQWyz8anAHmRx8d5UE2SQCLcBGAsYHQ/s640/20200406_103356.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QOfRIz7YodY/XqhBHeRug8I/AAAAAAAAHG4/A8-OObpCq7MHzrQQlUi5VeWr_-VH-Rw7gCLcBGAsYHQ/s640/20200425_083109.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-K90VNAlX0v0/XqhBHjOKMqI/AAAAAAAAHG8/SH22q_4ztOkDN74Lr-yJOtD6PU0_Z_KgQCLcBGAsYHQ/s640/20200425_083635.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7G8ffZTCqAo/XqhBL9d5LyI/AAAAAAAAHHA/so3T8Drv0-gqWcH8eEXDdhmd0l0OaRSpwCLcBGAsYHQ/s640/20200425_084014.jpg)
10 years ago
MichuziWANANCHI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA MFUMO WA BVR
Wakizungumza na Globu ya Jamii kwa nyakati tofauti walisema zoezi linaenda vizuri lakini linakabiliwa na changamoto chache ambazo zikitatuliwa wananchi wote watajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura.
Akizungumzia suala kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ,Salumu Abbakari Mkazi wa...