Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram wateka nyara watoto.

Watoto 30 wametekwa nyara na watu wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram.

 
Watoto hao wametekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 
Tukio hili linakuja siku chache baada ya kundi hilo kuwateka wanawake na wasichana kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

 
Hadi sasa wasichana wa shule 200 waliotekwa na wanamgambo hao miezi tisa iliyopita bado hawajulikani walipo.

BBC

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram sasa lateka nyara watoto

Watoto wapatao 30 wametekwa nyara na watu wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram Wateka Chuo Cha Polisi

Chuo kinachozalisha maofisa wa polisi nchini Naigeria kimetekwa na Boko Haram

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 241 WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAM NIGERIA WANUSURIWA

Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwaJeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.Katika taarifa, Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imesema watu hao waliokolewa katika oparesheni iliyofanyika katika eneo la Gamoru jimboni Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Nigeria  John Enenche amesema mateka hao ni pamoja na wanawake 105 na watoto 136, ambao wameokolewa wilayani Mudu kwenye operesheni iliyofanywa na vikosi vya Lafiya Dole Jumapili, na sasa wako...

 

9 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wametimua watoto nusu milioni

Watoto nusu milioni wametoroka makwao kutokana na mashambulio ya kundi la Boko Haram katika kipindi cha miezi mitano iliyopita.

 

11 years ago

TheCitizen

Old injustices and Boko Haram

On April 14, 2014 a group of deadly armed religious fanatics in Northern Nigeria, Boko Haram, attacked a school hostel in the north-east Nigerian town of Chibok and abducted 234 female students.

 

11 years ago

BBC

How far does Boko Haram's reach go?

How far could Boko Haram militants extend their reach?

 

10 years ago

BBC

Escape from Boko Haram

How three girls fled their captors

 

10 years ago

BBC

Why is Boko Haram so strong?

How did Nigeria's Boko Haram become so strong?

 

10 years ago

BBC

Boko Haram: What next for the rescued?

Long road to recovery for rescued Boko Haram captives

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani