WATU 241 WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAM NIGERIA WANUSURIWA
Jeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.Katika taarifa, Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imesema watu hao waliokolewa katika oparesheni iliyofanyika katika eneo la Gamoru jimboni Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Nigeria John Enenche amesema mateka hao ni pamoja na wanawake 105 na watoto 136, ambao wameokolewa wilayani Mudu kwenye operesheni iliyofanywa na vikosi vya Lafiya Dole Jumapili, na sasa wako...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Boko Haram lawaua watu 20 Nigeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKq5*t5eazyrGkS0aempqwruao9729FKCo4M6VSpcBMUiqfqQv4VY6XPnYd3cMIk*b4FTqLtw1VgvEPwSZ1A13p/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg?width=600)
BOKO HARAM WAONYESHA WASICHANA WALIOTEKWA
11 years ago
Michuzi12 May
Boko Haram Waonyesha wasichana waliotekwa
![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/12/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZye9rbsw4j1m*m-qvkut94lqQuaxxFOelTj3MHr16jeaWszDqXtX5TGhPqrRsCsuYBgwOAgHuk7pQlzZOis1KI9/_81807158_0263868781.jpg?width=650)
WATU WAPATAO 70 WANAOSADIKIWA KUUAWA NA BOKO HARAM WAGUNDULIKA DAMASAK, NIGERIA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1yjEzTgn3Os/VU3kAdjOeQI/AAAAAAABN_A/2Zz0YNT3w5Y/s72-c/nigeriaterrorbokoharam.png)
WATU 12 WAJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BOKO HARAM KUSHAMBULIA CHUO NIGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1yjEzTgn3Os/VU3kAdjOeQI/AAAAAAABN_A/2Zz0YNT3w5Y/s640/nigeriaterrorbokoharam.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TY68dIiLtI/VU3j_ev7byI/AAAAAAABN-0/iVYwi35ksAw/s640/Nigerian-student-injured-in-suicide-attack-ap-640x480.jpg)
10 years ago
StarTV27 Oct
Boko Haram wateka nyara watoto.
Watoto 30 wametekwa nyara na watu wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram.
Watoto hao wametekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Tukio hili linakuja siku chache baada ya kundi hilo kuwateka wanawake na wasichana kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Hadi sasa wasichana wa shule 200 waliotekwa na wanamgambo hao miezi tisa iliyopita bado hawajulikani walipo.
BBC
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Boko Haram sasa lateka nyara watoto