WATU WAPATAO 70 WANAOSADIKIWA KUUAWA NA BOKO HARAM WAGUNDULIKA DAMASAK, NIGERIA

Askari wa Chad na Niger wakiwa Damasak. Makumi ya miili ya watu wanaosadikiwa kuuawa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri wa Boko Haram, imegunduliwa katika Mji wa Damasak uliopo Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Taarifa zinaeleza kuwa, miili hiyo ya watu 70 ambayo mingi kati yake imekutwa ikiwa imekatwa vichwa, imegunduliwa na askari wa Chad na Niger katika mji huo wa Damasak nchini humo. Tayari uchunguzi umeanzishwa kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Boko Haram lawaua watu 20 Nigeria
5 years ago
CCM Blog30 May
WATU 241 WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAM NIGERIA WANUSURIWA

10 years ago
Vijimambo
WATU 12 WAJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BOKO HARAM KUSHAMBULIA CHUO NIGERIA


10 years ago
BBC
Boko Haram HQ in Nigeria 'retaken'
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Tutawakabili Boko Haram:Nigeria
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Boko Haram washambulia Nigeria
10 years ago
BBC20 Jul
Nigeria and US to discuss Boko Haram