Boko Haram lawaua watu 20 Nigeria
Watu 20 wameuawa mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulizi mapya yanayoendeshwa na kundi la Boko Haram katika eneo hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Boko Haram lawaua watu 10 Cameroon
Takriban watu 10 wameuawa kazkazini mwa Cameroon katika shambulio baya lililotekelezwa na kundi hatari la kiislamu la Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Boko Haram lawaua watu 38 nchini Niger
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram kutoka Nigeria wamewaua watu 38 katika shambulio katika vijiji viwili kusini mwa Niger.
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria
Utawala wa jimbo la Borno lililoko Kaskazini mwa Nigeria umesema watu 39 wameuawa katika shambulizi lililofanywa mjini Konduga
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria
Wapiganaji wa Kiislamu nchini NIgeria wamekishambulia kijiji Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo na kuwaua kiasi ya watu 18.
5 years ago
CCM Blog30 May
WATU 241 WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAM NIGERIA WANUSURIWA
![Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa](https://media.parstoday.com/image/4bpo1a9aff342814gk1_800C450.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1yjEzTgn3Os/VU3kAdjOeQI/AAAAAAABN_A/2Zz0YNT3w5Y/s72-c/nigeriaterrorbokoharam.png)
WATU 12 WAJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BOKO HARAM KUSHAMBULIA CHUO NIGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1yjEzTgn3Os/VU3kAdjOeQI/AAAAAAABN_A/2Zz0YNT3w5Y/s640/nigeriaterrorbokoharam.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TY68dIiLtI/VU3j_ev7byI/AAAAAAABN-0/iVYwi35ksAw/s640/Nigerian-student-injured-in-suicide-attack-ap-640x480.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZye9rbsw4j1m*m-qvkut94lqQuaxxFOelTj3MHr16jeaWszDqXtX5TGhPqrRsCsuYBgwOAgHuk7pQlzZOis1KI9/_81807158_0263868781.jpg?width=650)
WATU WAPATAO 70 WANAOSADIKIWA KUUAWA NA BOKO HARAM WAGUNDULIKA DAMASAK, NIGERIA
Askari wa Chad na Niger wakiwa Damasak. Makumi ya miili ya watu wanaosadikiwa kuuawa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri wa Boko Haram, imegunduliwa katika Mji wa Damasak uliopo Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Taarifa zinaeleza kuwa, miili hiyo ya watu 70 ambayo mingi kati yake imekutwa ikiwa imekatwa vichwa, imegunduliwa na askari wa Chad na Niger katika mji huo wa Damasak nchini humo. Tayari uchunguzi umeanzishwa kwa...
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
B Haram lawaua watu 21 likitoroka vita
Maafisa nchini Nigeria wanasema kuwa takriban watu 21 wameuawa na wanamgambo wa Boko Haram waliokuwa wakirudi nyuma
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Lori la mafuta lawaua watu 70 Nigeria
Karibu watu 70 wamefariki huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania