Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


B Haram lawaua watu 21 likitoroka vita

Maafisa nchini Nigeria wanasema kuwa takriban watu 21 wameuawa na wanamgambo wa Boko Haram waliokuwa wakirudi nyuma

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaua watu 10 Cameroon

Takriban watu 10 wameuawa kazkazini mwa Cameroon katika shambulio baya lililotekelezwa na kundi hatari la kiislamu la Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaua watu 20 Nigeria

Watu 20 wameuawa mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulizi mapya yanayoendeshwa na kundi la Boko Haram katika eneo hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaua watu 38 nchini Niger

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram kutoka Nigeria wamewaua watu 38 katika shambulio katika vijiji viwili kusini mwa Niger.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lawaua watu 4 Burundi

Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio lawaua watu 9 kanisani US

Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema mtu aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu 9 kanisani

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lawaua watu 40 Nepal

Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la Israel lawaua watu 10

Ripoti za hivi karibuni zinaarifu kuwa shambulizi la angani la Israel limewauwa watu kumi katika shule moja ya umoja wa mataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Jivu la Volkano lawaua watu 30 Japan

Takriban wakwea milima 30 huenda wameaga dunia nchini Japan kufuatia kulipuka kwa mlima wa Volcano siku ya Jumamosi.

 

10 years ago

StarTV

Shambulizi la Guruneti lawaua watu 4 Burundi


Burundi

Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.

Mashambulizi hayo yalifanyika katika miji mitatu ukiwemo mji mkuu Bujumbura.

Polisi wanasema kuwa guruneti hizo zilirushwa na wafuasi wa upinzani ambao wanataka kuvuruga uchaguzi mkuu unaokuja.

Siku ya ijumaa watu 11 walijeruhiwa kwenye misururu ya mashambulizi ya guruneti.

Burundi imekumbwa na ghasia zilizoendeshwa na wapinzani wa rais Nkurunziza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani