Boko Haram wametimua watoto nusu milioni
Watoto nusu milioni wametoroka makwao kutokana na mashambulio ya kundi la Boko Haram katika kipindi cha miezi mitano iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
UN: Boko Haram imesababisha milioni kutoroka shuleni
11 years ago
StarTV27 Oct
Boko Haram wateka nyara watoto.
Watoto 30 wametekwa nyara na watu wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram.
Watoto hao wametekwa nyara kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Tukio hili linakuja siku chache baada ya kundi hilo kuwateka wanawake na wasichana kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Hadi sasa wasichana wa shule 200 waliotekwa na wanamgambo hao miezi tisa iliyopita bado hawajulikani walipo.
BBC
11 years ago
BBCSwahili27 Oct
Boko Haram sasa lateka nyara watoto
10 years ago
BBC
11 years ago
BBC
How do you negotiate with Boko Haram?
11 years ago
BBC
10 years ago
BBC
11 years ago
BBCSwahili02 Sep
Boko Haram 70 wauawa .
11 years ago
BBC