Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udini,chuki marufuku,Ufaransa

Serikali ya Ufaransa imesema hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watu watakaobainika kujihusisha na ugaidi na kueneza chuki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mameya magharibi mwa Ufaransa wamepiga marufuku watu kuwa wagonjwa kutokana na ukosefu wa madaktari

Hatua hiyo isio ya kawaida iliotekelezwa na mameya tisa ina lengo la kutoa hamasa dhidi ya hali mbaya ya afya nchini humo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Udini, ukabila ni ukaburu

KATI ya nukuu ama wosia muhimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa Watanzania ni kukataa

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Habarileo

Bulembo aonya udini na ukabila

MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Abdallah Bulembo, ameonya juu ya siasa za udini na ukabila kwenye kampeni na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua hatua dhidi ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana tusitumike kueneza udini

VIJANA katika taifa lolote ni nguzo muhimu katika siku zijazo, na wana jukumu la kulinda na kuendeleza mafanikio yaliyopatikana katika kizazi cha sasa kwa ajili ya kizazi kijacho. Jukumu hilo...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Shein akemea udini, ukabila

Dk.-Ali-Mohamed-SheinNA AMON MTEGA, RUVUMA

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka Watanzania wasigawanyike kwa masuala ya kidini na ukabila kwa kuwa wanaweza kuvuruga amani ya nchi.
Dk. Shein alitoa wito huo jana mjini Songea alipokuwa akizindua mbio za mwenge wa uhuru katika Uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma.
“Kuna baadhi ya makundi yamekuwa yakifanya jitihada za kuwagawa Watanzania kwa kuingiza masuala ya udini na
wengine wanaanza kueneza ukabila.
“Mambo hayo tusiyaruhusu...

 

11 years ago

Habarileo

Mwinyi, Sumaye wakemea udini

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili , Ali Hassan Mwinyi RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili , Ali Hassan Mwinyi ametaka Watanzania kuwa makini kwa kutoruhusu tofauti za dini zilizopo nchini, kuwa chanzo cha mgawanyiko miongoni mwao.

 

10 years ago

Michuzi

PROFESA MUHONGO ni MUATHIRIKA wa propaganda ya UDINI.

Kumekuwepo na habari ambazo zimeendelea kushamiri kila uchao katika mitandao ya kijamii na pia habari hizo kuripotiwa na magazeti kadhaa, ambapo kwa mara ya kwanza gazeti la mtanzania la Jumanne ya tarehe 19th Aug 2014, kisha gazeti la Jambo leo la Alhamis ya tarehe 21st Aug 2014 na baadae gazeti la An nuur la Ijumaa ya tarehe 22ndAug 2014, kwa mfululizo, kwa mfanano wa dhamira na maandishi magazeti hayo yote yameandika habari ya upotoshaji, uchonganishi na kukuza chuki ya kidini hapa...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waonywa urais wa fedha, udini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amewataka Watanzania kuwapuuza wanasiasa wenye kutaka kutumia fedha, dini, ukabila na aina yoyote ya ubaguzi kujijengea uhalali na kuombea kura katika uchaguzi mkuu ujao.

 

9 years ago

GPL

CCM YALAANI UDINI WA LOWASSA NA CHADEMA.

Nape Nnauye. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Katika hali ya kushangaza na kusikitisha tarehe 6/09/2015 siku ya Jumapili mjini Tabora mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema Ndg. Edward Lowassa aliamua kutumia udini kuomba kura. Ndg. Lowassa akihudhuria ibada katika kanisa la Kilutheri (KKKT) mjini Tabora amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii akidai kuwa, kwa kuwa toka nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani