Coronavirus: Visa vya maambukizi ya Coronavirus vyaongezeka Kenya na Uganda
Kenya imethibitisha visa vingine saba vya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus, huku Uganda ikiandikisha visa vingine vitano
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Serikali ya Kenya yatangaza visa viwili zaidi vya coronavirus
Watu wawili waliopatikana na visusi vya Ebola ni wale waliotangamana na mgonjwa wa kwanza
5 years ago
BBCSwahili29 Mar
Coronavirus: Visa vinne vipya vya coronavirus vyathibitishwa Kenya
Waziri wa Afya nchini Kenya amesema kuwa visa vingine vinne vya coronavirus vimethibitishwa baada ya watu hao kupimwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s72-c/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
Visa vinne vipya vya coronavirus vyathibitishwa Kenya
![](https://1.bp.blogspot.com/-E7TBXU7UI4c/XoDx1EYoAXI/AAAAAAALlgU/VbZ2NEy-G889rf2mPJzT9NeuknDfqnr_wCLcBGAsYHQ/s640/_111464830_c3fa32a1-f384-418b-b64c-85d01cca73d2.jpg)
Visa hivyo ni pamoja na Mkenya mmoja, raia mmoja wa Cameroon, Mmarekani mmoja na raia mmoja wa Burkina Faso . Akitoa taarifa kuhusu janga la coronavirus
Bwana Kagwe amewashauri Wakenya wote kushirikiana kuzuwia maambukizi ya corona badala ya kuuachia mzigo huo serikali pekee:'' Tunahitaji kufikiria jinsi ya kushughulikia...
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya wagonjwa waliambukizwa virusi vya corona nchini Kenya.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya corona: Serikali yatangaza visa 7 zaidi vya maambukizi Kenya
Kenya imetangaza visa 7 zaidi vya maambukiz ya corona, idadi hiyo ikifanya idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini humo kuwa 179
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Visa vya kujinyonga vyaongezeka Afrika
Shirika la WHO limesema idadi ya watu wanaojitia kitanza imeongezeka sana barani Afrika ikilinganishwa na maeneo mengine duniani
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Visa vya MERS vyaongezeka Korea Kusini
Maafisa wa afya nchini Korea Kusini wamegundua visa vingine 23 vya ugonjwa uitwao Middle East Respiratory Syndrome au MERS.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania