Nyarugusu-Tanzania yahofia Ebola
Mtu mmoja kwenye kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma,amefariki dunia kutokana na ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Ebola:Klabu yahofia kumwachia Traore
10 years ago
Vijimambo20 Nov
Klabu yahofia kumwachia Traore kuogopa kupata maambukizi ya Ebola
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/19/141119124829_traore_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.
Timu ya taifa ya Guinea ,Syli Nationale itacheza katika mechi ambayo lazima washinde dhidi ya Uganda nchini Morocco ambako mechi hiyo ilihamishiwa kwa...
9 years ago
AllAfrica.Com04 Jan
Tanzania: UN Plans to Ease Congestion At Nyarugusu Refugee Camp
AllAfrica.com
More than 33,000 refugees from Nyarugusu camp will be transferred to other countries in America and Europe to ease congestion at the camp. Speaking to The Citizen, head of Nyarugusu refugees camp Mr Sospeter Boyo said the move is part of a United ...
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Libya yahofia kuporomoka
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Uganda yahofia kunyimwa misaada
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Yanga yahofia kusajili ‘makapi’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.
Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Thailand yahofia magaidi kutoka Syria
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kamati ya Bajeti yahofia muda wa uchambuzi
11 years ago
Habarileo11 Jan
SMZ yahofia 13 kufa maji ajali mv Kilimanjaro
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Tume kuchunguza ajali ya boti ya Kilimanjaro II iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkondo wa Nungwi ambapo hadi sasa watu 13 hawajulikani walipo wakihofiwa kufa maji.