Yanga yahofia kusajili ‘makapi’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.
Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Yanga, Azam ‘zazuiwa’ kusajili
10 years ago
Mwananchi13 May
USAJILI: Ngassa yametimia Sauzi, Yanga kusajili 11 wapya
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Libya yahofia kuporomoka
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Nyarugusu-Tanzania yahofia Ebola
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Uganda yahofia kunyimwa misaada
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Ebola:Klabu yahofia kumwachia Traore
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Thailand yahofia magaidi kutoka Syria
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kamati ya Bajeti yahofia muda wa uchambuzi
11 years ago
Mwananchi03 Apr