Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sir Alex: Itakuwa ujinga Roman Abrahimovich akimfuta kazi Mourinho

2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080

Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amesema ‘itakuwa ujinga’ mmiliki wa Chelsea, Roman Abrahimovich kumfuta kazi Jose Mourinho.

2F23A40300000578-0-image-a-10_1449498587080

Mabingwa hao watetezi hadi sasa wamesalia katika nafasi ya 14 baada ya kupoteza mechi 8 kati ya 15 za kwanza msimu huu.

Taarifa mbalimbali zinasema kuwa kibarua cha kocha huyo mbishi huenda kikaota nyasi endapo the Blues watashindwa tena katika mechi zao 2 zijazo.

130305090736_ferguson_mourinho_512x288_pa

Hata hivyo Ferguson amemtetea akisema hakuna haja ya kumtimua kocha huyo...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sir Alex: Itakuwaujinga kumfuta Mourinho

Aliyekuwa mkufunzi wa Manchester United amesema itakuwa ujinga mmiliki wa Chelsea Roman Abrahimovich kumfuta kazi Jose Mourinho

 

9 years ago

Bongo5

Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo

Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.

Roman-Abramovich

Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.

Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.

2F6063C200000578-0-Roman_Abramovich_will_be_forced_to_pay_Jose_Mourinho_more_than_4-a-2_1450213633301

Mourinho anayelipwa...

 

9 years ago

Africanjam.Com

SIR ALEX FERGUSON'S LIFE AFTER RETIREMENT

Sir Alex Ferguson addresses students at the Harvard Business School
“Once I made my decision I wasn’t going to go into it as a grumpy old man leaving his job. My dad left the shipyards at 65 because you had to leave your job at 65. The challenges in front of me were good ones, especially the Harvard thing [he teaches part-time at the Harvard Business School]. Then my involvement with United as a director, as an ambassador, and my jobs with Uefa, Unicef. I’ve travelled a bit and I love...

 

11 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY SIR ALEX FERGUSON

Kocha mkuu wa zamani wa Manchester United, Sir Alexander Chapman "Alex" Ferguson, katimiza miaka 72 siku ya leo alizaliwa December 31, 1941 Govan, United Kingdom  .

 

10 years ago

AllAfrica.Com

'Sir Alex', Country's Ancient Reptile That Still Lives in Arusha


'Sir Alex', Country's Ancient Reptile That Still Lives in Arusha
AllAfrica.com
Arusha — Nobody knows for sure how old 'Sir Alex' could be at the moment, but experts estimate that it could be hitting the 200 years (two centuries) mark now, making him the oldest creature in Tanzania and the 'most ancient' around the East African ...

 

10 years ago

TheCitizen

Unbelievable, a tortoise, Sir Alex, has lived for 200 years

Clocking 100 years of age is quite an accomplishment to you, but it is not a big deal to Sir Alex, a tortoise that has seen a number of generations pass through Arusha School for about a century now.

 

5 years ago

Manchester Evening News

Manchester United are doing what Sir Alex Ferguson did in the transfer market

Manchester United are doing what Sir Alex Ferguson did in the transfer market  Manchester Evening NewsHow Man Utd's 25 man squad for next season would look like with four new signings  ExpressAndreas Pereira fighting to bring Ole Gunnar Solskjaer silverware  Manchester United​Man Utd legend Neville explains Solskjaer shock: Look at his jumper!  Tribal Football'They are the real heroes' - Man Utd boss Solskjaer salutes work of NHS during coronavirus crisis  Goal.comView Full coverage on...

 

5 years ago

SPORTbible

Manchester United's Post Sir Alex Ferguson Signings Ranked

Manchester United's Post Sir Alex Ferguson Signings Ranked  SPORTbible'Slow conveyor belt' - Neville reveals details of Sir Alex's transfer policy at Man Utd  Goal.comGary Neville on Sir Alex Ferguson's Man Utd transfer policy | Off Script  Sky SportsCristiano Ronaldo in, Wayne Rooney benched: The ultimate Manchester United Sir Alex Ferguson XI  Manchester Evening NewsMan Utd gambled on star names like Pogba & Sanchez while Liverpool bought into Klopp's project - Van Persie  Goal.comView...

 

5 years ago

Mirror Online

Man Utd confirm NHS support package backed by former boss Sir Alex Ferguson

Man Utd confirm NHS support package backed by former boss Sir Alex Ferguson  Mirror OnlineUnited offers support and appreciation to NHS  Manchester UnitedSir Alex Ferguson praises UK medical staff as Man United offer Old Tafford amid coronavirus crisis  ESPNAlex Ferguson pays tribute to ‘magnificent’ NHS  The Irish TimesSir Alex Ferguson praises Manchester United coronavirus response as NHS support package announced  GoalView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani