Sir Alex: Itakuwa ujinga Roman Abrahimovich akimfuta kazi Mourinho
Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amesema ‘itakuwa ujinga’ mmiliki wa Chelsea, Roman Abrahimovich kumfuta kazi Jose Mourinho.
Mabingwa hao watetezi hadi sasa wamesalia katika nafasi ya 14 baada ya kupoteza mechi 8 kati ya 15 za kwanza msimu huu.
Taarifa mbalimbali zinasema kuwa kibarua cha kocha huyo mbishi huenda kikaota nyasi endapo the Blues watashindwa tena katika mechi zao 2 zijazo.
Hata hivyo Ferguson amemtetea akisema hakuna haja ya kumtimua kocha huyo...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Sir Alex: Itakuwaujinga kumfuta Mourinho
9 years ago
Bongo516 Dec
Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo
Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.
Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.
Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.
Mourinho anayelipwa...
9 years ago
Africanjam.ComSIR ALEX FERGUSON'S LIFE AFTER RETIREMENT
“Once I made my decision I wasn’t going to go into it as a grumpy old man leaving his job. My dad left the shipyards at 65 because you had to leave your job at 65. The challenges in front of me were good ones, especially the Harvard thing [he teaches part-time at the Harvard Business School]. Then my involvement with United as a director, as an ambassador, and my jobs with Uefa, Unicef. I’ve travelled a bit and I love...
11 years ago
GPLHAPPY BIRTHDAY SIR ALEX FERGUSON
10 years ago
AllAfrica.Com10 Aug
'Sir Alex', Country's Ancient Reptile That Still Lives in Arusha
'Sir Alex', Country's Ancient Reptile That Still Lives in Arusha
AllAfrica.com
Arusha — Nobody knows for sure how old 'Sir Alex' could be at the moment, but experts estimate that it could be hitting the 200 years (two centuries) mark now, making him the oldest creature in Tanzania and the 'most ancient' around the East African ...
10 years ago
TheCitizen09 Aug
Unbelievable, a tortoise, Sir Alex, has lived for 200 years
5 years ago
Manchester Evening News03 Apr
Manchester United are doing what Sir Alex Ferguson did in the transfer market
5 years ago
SPORTbible02 Apr
Manchester United's Post Sir Alex Ferguson Signings Ranked
5 years ago
Mirror Online09 Apr
Man Utd confirm NHS support package backed by former boss Sir Alex Ferguson