SANDRA: HATA NIKIMFUMANIA SIWEZI KUMUACHA MUME WANGU
![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv8Yt50PYxxhDLB*MCaVNAdsT1JC3Nnb6r4O6SSYC1Sg*7oBJi*CnTj8Z*ASuegDQvqVPbhyADcwqj-ipXzKTebc/Sandra.jpg)
Wiki hii kupitia ukurasa huu tunaye mwanadada anayefanya vizuri kwenye ulimwengu wa filamu anayefahamika sana kwa jina la Sandra lakini jina lake halisi ni Salama Salmini.Ni mama wa watoto wawili na anaishi na mume wake. Mwandishi Wetu Mayasa Mariwata hivi karibuni alimbana kwa maswali 10 na bila hiyana alitoa ushirikiano katika kuyajibu, shuka naye… Mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo,Salama Salmini 'Sandra'. TQ: Ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
"Hata iweje siwezi kuachana na Nuh Mziwanda" - Shilole huyo
Baada ya varangati lililotokea Tabora katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, baada mpenzi wa mwanamuziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kukataliwa na mashabiki, Shilole ameamua kufunguka kuwa Nuh atabaki kuwa mpenzi wake katika hali yoyote.
Akizungumza na paparazi wa kampuni ya GPL, Shilole alisema lengo lake lilikuwa ni kumtambulisha mpenzi wake kwa mashabiki wake japo walimkataa kuwa shemeji yao.
“Wakati namtambulisha Nuh kwa wakazi wa Tabora kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyMu9OStupI-oHOEXcHngty*imrl6z0HZWHbkdt7RA-oC6knxzsVWLdJlWcuHdcC6SGlDng3eQ2oY7iUXn94ifz/DIVA.jpg?width=650)
DIVA: ZITTO NI MUME WANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGP9-7cwesnxrokm3yl3TcMgtAT86eCl2XaHIkLV2GfPmi4f0XnLrn5CaGkQGjhNAhiPEweGRIP87BiBcRZ5Jlm/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA: MSIMSOGELEE MUME WANGU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGAQKXNOuPF0D7VJvzjYn5JGM4F-Hy6uQQNWU84j9ScNvsZLHEm34wNqrjAdygZ9NBPNNDmqT53zWYFx3qshgvY/2.jpg?width=650)
SHAMSA: SIJAACHANA NA MUME WANGU
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Mume Wangu Anaishi Mara ya Pili – 4
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mh! Wote tuliangaliana, lakini mimi moyoni nilikubaliana na madai ya Daniel kwa sababu ya ile hali iliyojitokeza pale kwenye shughuli. Yule mzee naye akatia neno lake, akisema:
“Ila mimi jamani nakubaliana na huyu kijana, Daniel. Ndiyo maana pale nilisema najua zaidi, mama ukaja juu ukitaka nikiseme hicho ninachokijua. Lakini ukweli ni kwamba, Daniel namfahamu, hawezi kukurupuka kutaka amrithi shemeji yake, wengine wangeweza.”
Mimi nikanyoosha mkono ili niseme,...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Mume Wangu Anaishi Mara ya Pili – 7
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kilichonifanya nimwangalie sana ni kwamba, huo wimbo aliosema aliwekewa na mume wangu, Bubu Hutaka Kusema mume wangu naye alikuwa akiupenda kupindukia, nikamshangaa sana huyu Tiaki.
“Shemeji,” nilimwita.
“Naam.”
“Mbona sikuelewi?”
ENDELEA NAYO SASA…
“Hunielewi kivipi shemeji. Kukuomba wimbo au?”
“Huo wimbo mume wangu alikuwa akiupenda sana. Lakini pia juisi ya ukwaju, mume wangu alikuwa akiipenda. Sasa nashangaa sana. Kwa nini kila kitu alichokipenda yeye na wewe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-79z6dcYFKjrs*i88kuXYDlFFZGAld3SKw5X4YjM-nqpNTS5iOGgaU8BTGbdOvYNl6luYvgrtEcXzA22dZGAaMf/backUWAZI.jpg?width=650)
MKE: MUME WANGU AKACHUKUA NYUNDO...