FA yampa adhabu Jose Mourinho
Chama cha soka cha England FA, kimempa adhabu meneja wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho kutokana na utovu wa nidhamu. Mourinho amefungiwa mechi moja na kupigwa faini ya pauni 50,000 kwa maoni yake dhidi ya maafisa wa mechi. Mourinho alidai kuwa maafisa walikuwa waoga kuipa timu yake penati baada ya Robert Madley kuikatalia penati Chelsea […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi09 Apr
MAHAKAMA YAMPA ADHABU YA KUFUA MASHUKA YA HOSPITAL DIWANI WA CHADEMA
MAHAKAMA ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imempa adhabu ya kufua mashuka ya wagonjwa katika hospital ya Wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani Diwani wa kata ya Kasanda kupitia tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yeye na wenzake wanne kwa muda wa siku kumi na nne baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.
Mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya Wilaya ya Kibondo Erick Marley,mwendesha mashitaka wa polisi Peter Makala...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Adhabu ya Costa yamkera Mourinho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6pEoU2cJ1I0*xH4AZuFrGkKpMD8PBUMovJBHuzRqtxat4RsuWcENGsbGSf6gWnPQ8yD5hTzcCDHiF2wnDzLwvlO/url.jpg?width=650)
JOSE MOURINHO HAKUNAGA
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-BWmxv8oEHP8/VdIuRZ6SjrI/AAAAAAAADUg/VRpiN8cojJg/s72-c/_84922311_josemourinho.jpg)
JOSE MOURINHO'S WORSE WEEK EVER
![](http://3.bp.blogspot.com/-BWmxv8oEHP8/VdIuRZ6SjrI/AAAAAAAADUg/VRpiN8cojJg/s1600/_84922311_josemourinho.jpg)
Chelsea manager Jose Mourinho's week from hell concluded in a fitting manner as he suffered the misery of watching his Premier League champions comprehensively dismantled by Manchester City.The start of Chelsea's title defence has been overshadowed by the behind-the-scenes manoeuvring that saw Mourinho remove medical staff Eva Carneiro and Jon Fearn from their touchline roles after infuriating the manager by entering the Stamford Bridge playing surface to attend to Eden Hazard in the 2-2...
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Kauli yamponza Jose Mourinho
LONDON, ENGLAND
CHAMA cha Soka England (FA), kimemfungia mchezo mmoja kuingia uwanjani na faini ya pauni 50,000 kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho.
Adhabu hiyo imekuja baada ya kocha huyo kukutwa na kosa la kuvunja kanuni za FA inayohusiana na maelezo yake ya mwisho wa mchezo walipofungwa na Southampton mabao 3-1.
Mourinho alikutwa na kosa la kumbwatukia mwamuzi wa mchezo huo, akidai kuwa aliwaua baada ya kuwa na ‘hofu ya kutoa maamuzi kwa Chelsea’.
FA imesema kuwa ina uwezo wa...
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Arsene Wenger amjibu Jose Mourinho
LONDON, ENGLAND
BAADA ya Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho kumshambulia Arsene Wenger kwamba ni kocha ambaye yupo katika wakati mgumu wa kufukuzwa na klabu yake, naye Wenger amemjibu kocha huyo kwa kusema anajivunia kuwa na jina kubwa katika chama cha soka nchini England.
Hata hivyo, Mourinho alimshambulia kocha huyo kwa kudai kuwa anapenda kuwalalamikia waamuzi wakati anapopoteza mchezo.
Wenger alionekana kumtupia lawama mwamuzi Mike Dean ambaye alichezesha mchezo wa wapinzani hao wiki moja...