Adhabu ya Costa yamkera Mourinho
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amekerwa na uamuzi wa Chama cha Soka England (FA) kumfungia mechi tatu mshambuliaji wake, Diego Costa akisema utaiumiza klabu yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Mourinho: Costa wala hawezi kunisumbua
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, amesema kuwa mshambuliaji wake, Diego Costa, hawezi kumsumbua kutokana na tabia yake ya utovu wa nidhamu.
Mchezaji huyo juzi hakupata nafasi ya kucheza katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Tottenham, ambapo timu hizo zilitoka suluhu, lakini alisimamishwa dakika ya 82 na kuanza kufanya mazoezi ya kupasha misuli ili aweze kuingia, lakini hadi dakika 90 zinamalizika hakupata nafasi hiyo.
Kutokana na hali hiyo, Costa aliamua kuvua jezi ya juu ambayo...
9 years ago
TheCitizen21 Sep
Mourinho, Wenger clash over bothersome Costa
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mourinho adai Diego Costa anaonewa
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Mourinho atetea kumweka Costa nje
9 years ago
Bongo515 Oct
FA yampa adhabu Jose Mourinho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqapTh0JLcS0VJN0hpn502Av-2Qz23ylV*3XdYspj6MHr-DJfJr1r11sP8JEqykgVSNQhtcS23diXCEP8x32SaoDu/DiegoCostachelseanvo.jpg?width=650)
MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja
11 years ago
Habarileo13 Jul
Rushwa ya ng’ombe, mbuzi yamkera JK
RAIS Jakaya Kikwete amewaonya wenyeviti na maofisa watendaji wa vijiji kuacha mara moja tabia ya kupokea rushwa ya mbuzi na ng’ombe kutoka kwa wafugaji wanaohamia kwenye maeneo yao bila kuzingatia taratibu zilizowekwa na vijiji.