Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adhabu ya Costa yamkera Mourinho

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amekerwa na uamuzi wa Chama cha Soka England (FA) kumfungia mechi tatu mshambuliaji wake, Diego Costa akisema utaiumiza klabu yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mourinho: Costa wala hawezi kunisumbua

MouCostaLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, amesema kuwa mshambuliaji wake, Diego Costa, hawezi kumsumbua kutokana na tabia yake ya utovu wa nidhamu.

Mchezaji huyo juzi hakupata nafasi ya kucheza katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Tottenham, ambapo timu hizo zilitoka suluhu, lakini alisimamishwa dakika ya 82 na kuanza kufanya mazoezi ya kupasha misuli ili aweze kuingia, lakini hadi dakika 90 zinamalizika hakupata nafasi hiyo.

Kutokana na hali hiyo, Costa aliamua kuvua jezi ya juu ambayo...

 

9 years ago

TheCitizen

Mourinho, Wenger clash over bothersome Costa

Diego Costa provided the lightning conductor as the longstanding friction between Chelsea and Arsenal crackled to the fore during his side’s ill-tempered 2-0 victory in the Premier League.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho adai Diego Costa anaonewa

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amedai mshambuliaji wake Diego Costa amekuwa akionewa na maafisa wasimamizi wa soka.

 

10 years ago

Mwananchi

Mourinho atetea kumweka Costa nje

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesema mshambuliaji wake Diego Costa hayuko tayari kuanza katika michezo zaidi ya mitatu kwa wiki baada ya kumtumia kama mchezaji wa akiba katika mchezo wa juzi dhidi ya Schalke.

 

9 years ago

Bongo5

FA yampa adhabu Jose Mourinho

Chama cha soka cha England FA, kimempa adhabu meneja wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho kutokana na utovu wa nidhamu. Mourinho amefungiwa mechi moja na kupigwa faini ya pauni 50,000 kwa maoni yake dhidi ya maafisa wa mechi. Mourinho alidai kuwa maafisa walikuwa waoga kuipa timu yake penati baada ya Robert Madley kuikatalia penati Chelsea […]

 

10 years ago

GPL

MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI

Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa. Kocha wa timu ya Chelsea, José Mário dos Santos Mourinho Félix 'Jose Mourinho'. KOCHA Jose Mourinho amesema kwamba Diego Costa hawezi kucheza mechi tatu kwa wiki Chelsea kwa sababu ya maumivu ya nyama aliyoyapata akiitumikia timu yake ya taifa, Hispania. Costa, amefunga mabao saba katika mechi nne za awali Chelsea,… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja

Shirikisho la soka barani Ulaya, limempa adhabu Meneja wa Chelsea Mourinho ya kuikosa mechi moja na kutakiwa kulipa faini ya pauni elfu 40 za uingereza.

 

11 years ago

Habarileo

Rushwa ya ng’ombe, mbuzi yamkera JK

RAIS Jakaya Kikwete amewaonya wenyeviti na maofisa watendaji wa vijiji kuacha mara moja tabia ya kupokea rushwa ya mbuzi na ng’ombe kutoka kwa wafugaji wanaohamia kwenye maeneo yao bila kuzingatia taratibu zilizowekwa na vijiji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani