MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI
![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqapTh0JLcS0VJN0hpn502Av-2Qz23ylV*3XdYspj6MHr-DJfJr1r11sP8JEqykgVSNQhtcS23diXCEP8x32SaoDu/DiegoCostachelseanvo.jpg?width=650)
Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa. Kocha wa timu ya Chelsea, José Mário dos Santos Mourinho Félix 'Jose Mourinho'. KOCHA Jose Mourinho amesema kwamba Diego Costa hawezi kucheza mechi tatu kwa wiki Chelsea kwa sababu ya maumivu ya nyama aliyoyapata akiitumikia timu yake ya taifa, Hispania. Costa, amefunga mabao saba katika mechi nne za awali Chelsea,… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Mourinho: Costa wala hawezi kunisumbua
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, amesema kuwa mshambuliaji wake, Diego Costa, hawezi kumsumbua kutokana na tabia yake ya utovu wa nidhamu.
Mchezaji huyo juzi hakupata nafasi ya kucheza katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Tottenham, ambapo timu hizo zilitoka suluhu, lakini alisimamishwa dakika ya 82 na kuanza kufanya mazoezi ya kupasha misuli ili aweze kuingia, lakini hadi dakika 90 zinamalizika hakupata nafasi hiyo.
Kutokana na hali hiyo, Costa aliamua kuvua jezi ya juu ambayo...
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Costa apigwa marufuku ya mechi tatu
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Man Utd kucheza mechi kwa heshima ya Rooney
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Adhabu ya Costa yamkera Mourinho
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mourinho adai Diego Costa anaonewa
9 years ago
TheCitizen21 Sep
Mourinho, Wenger clash over bothersome Costa
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Mourinho atetea kumweka Costa nje
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Ronaldo kucheza mechi ya mwisho ya El Clasico