Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldo kucheza mechi ya mwisho ya El Clasico

Cristiano Ronaldo atacheza mchezo wake wa mwisho wa El Clasico Jumamosi, huku kukiwa na taarifa kuwa ataondoka Real Madrid Mei mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ukawa, CCM kucheza kete ya mwisho leo

>Kete ya mwisho ya kuamua iwapo wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) watarejea katika Bunge la Katiba au la itachezwa leo katika kikao cha maridhiano baina ya umoja huo na CCM, chini ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd kucheza mechi kwa heshima ya Rooney

Klabu ya Manchester United imekubali kucheza mechi maalum kwa heshima ya nyota wake Wayne Rooney.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia

Sudan Kusini inajiandaa kucheza mechi yake ya kwanza kabisa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia itakapokutana na Mauritania Jumatano.

 

10 years ago

GPL

MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI

Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa. Kocha wa timu ya Chelsea, José Mário dos Santos Mourinho Félix 'Jose Mourinho'. KOCHA Jose Mourinho amesema kwamba Diego Costa hawezi kucheza mechi tatu kwa wiki Chelsea kwa sababu ya maumivu ya nyama aliyoyapata akiitumikia timu yake ya taifa, Hispania. Costa, amefunga mabao saba katika mechi nne za awali Chelsea,… ...

 

11 years ago

CloudsFM

BONGO FLAVA NA WAANDISHI WA HABARI KUCHEZA MECHI YA KUMUENZI NGWEA

Ijumaa hii kutakua na mechi ya mpira wa miguu kati ya wasanii wa Bongo Flava na waandishi habari mechi iliyoandaliwa kwa ajili ya kumuenzi marehemu Albert Mangwea ambaye alikua ni kipenzi cha watu bila kubagua makundi, msemaji wa team bongo fleva Rich One akizungumzia mechi hiyo.timu ya bongo flava list iko hivi 1. Goal Keeper Tunda Man 2. M2tha P
3. Rich One
4. Nyandu Toz
5. Kalapina
6. Abdu Kiba
7. Jeby
8. Amini
9. H baba
Inspekta Haroun
10. KR Mula
Kwenye Bench rizevu
Jay Moe, Fresh P,...

 

10 years ago

StarTV

Malinzi aagiza usimamizi mechi za mwisho VPL

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewaagiza wasimamizi wa vituo vya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuhakikisha sheria na taratibu zote za mechi zinafuatwa.

 

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu huu 2014/2015 inafikia tamati kesho (Mei 9, 2015) ambapo timu zote 14 zitakuwa viwanjani katika mechi ambazo ndizo zitakazotoa hatma ya timu zinazoshuka daraja.

 

Mechi hizo zitakuwa kati ya Ndanda na Yanga (Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara), JKT Ruvu na Simba (Uwanja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani