Malinzi aagiza usimamizi mechi za mwisho VPL
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewaagiza wasimamizi wa vituo vya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuhakikisha sheria na taratibu zote za mechi zinafuatwa.
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu huu 2014/2015 inafikia tamati kesho (Mei 9, 2015) ambapo timu zote 14 zitakuwa viwanjani katika mechi ambazo ndizo zitakazotoa hatma ya timu zinazoshuka daraja.
Mechi hizo zitakuwa kati ya Ndanda na Yanga (Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara), JKT Ruvu na Simba (Uwanja wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cFHxPJ4HxwA/VDGVtBOJREI/AAAAAAAAq4o/EATkXz6zhl8/s72-c/10433895_804475506261651_4017831221493516899_n.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IsOU70ZsQeY/VU5AMzI688I/AAAAAAADmMg/EdzV-hhTeXA/s72-c/IMG-20150509-WA0002.jpg)
11 years ago
GPL5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dHcrNavZkd8/XrAIhjhc7SI/AAAAAAALpDE/PvuVZKH_e4Ey4_41veLQ-NCcqFZcUb0SQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0120.jpg)
BANDARI KAVU KWALA MBIONI KUKAMILIKA ,NDITIYE AAGIZA USIMAMIZI KAMILIFU
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye amesema ,ujenzi wa mradi wa bandari kavu Kwala,Kibaha mkoani Pwani ni utekelezaji wa maagizo ya Rais dkt.John Magufuli ya kupunguza msongamano kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
Kutokana na hilo ,Nditiye ameitaka Bodi ya Bandari kusimamia kikamilifu na kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa asilimia 100 ifikapo mwezi Juni 2020. Aliyasema hayo ,wakati wa mapokezi ya Treni ya kwanza iliyoleta makasha 20 kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Niwe wa mwisho kumpa 5 Malinzi
TANGU uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani, umekuwa ukifanya hiki na kile kwa lengo la kuyafikia malengo yake ya kuinua kiwango...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V-tL0Vagw4k/U26FccUJshI/AAAAAAAFgtA/mhqFlnN69Yk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
balozi seif aagiza usimamizi wa makubaliano kati ya mwekezaji wa hoteli ya sea cliff na wanakijiji
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Malinzi: Kamwe Taifa Stars haitajitoa mechi za kimataifa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CIyoW3Xt1Ww/U531sm4lXlI/AAAAAAAFq1s/q0UL2cH3jy4/s72-c/2.jpg)
VIINGILIO MECHI ZA TAIFA STARS SASA KARIBU NA BURE - MALINZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CIyoW3Xt1Ww/U531sm4lXlI/AAAAAAAFq1s/q0UL2cH3jy4/s1600/2.jpg)
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM JAMAL Malinzi, rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kwamba kuanzia sasa viingilio vya mechi za timu ya taifa, Taifa Stars kwa maeneo yasiyo ya VIP vitakuwa vya bei nafuu ili kutoa fursa kwa watu wengi kwenda kuishangilia timu hiyo.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Malinzi amesema kwamba wamejifunza hilo kutoka kwa Zimbabwe ambao kwenye mechi za timu ya taifa viingilio vya eneo la mzunguko huwa vya chini mno.
“Tumeona...