Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Niwe wa mwisho kumpa 5 Malinzi

TANGU uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani, umekuwa ukifanya hiki na kile kwa lengo la kuyafikia malengo yake ya kuinua kiwango...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nitakuwa wa mwisho kumpa tano Mzee Muhidin Ndolanga

MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi zilizo chini ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), iliyoanza Novemba 27 ilifikia tamati Desemba 12, Nairobi, Kenya. Mbio...

 

10 years ago

StarTV

Malinzi aagiza usimamizi mechi za mwisho VPL

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewaagiza wasimamizi wa vituo vya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuhakikisha sheria na taratibu zote za mechi zinafuatwa.

 

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu huu 2014/2015 inafikia tamati kesho (Mei 9, 2015) ambapo timu zote 14 zitakuwa viwanjani katika mechi ambazo ndizo zitakazotoa hatma ya timu zinazoshuka daraja.

 

Mechi hizo zitakuwa kati ya Ndanda na Yanga (Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara), JKT Ruvu na Simba (Uwanja wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Bayi: Uwindaji ulinifanya niwe mwanariadha

Alivunja rekodi ya dunia kwa dakika tatu  katika mbio za mita 1,500 kwenye Michezo ya  Madola huko New Zealand.

 

10 years ago

GPL

WOLPER: BORA NIWE FUNDI NGUO

Shani Ramadhani Na Mayasa Mariwata/Amani
STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ ameamua kuanika ukweli kuwa sasa hivi anataka kuwa fundi wa kushona nguo ili kuepukana na ‘masnichi’ waliopo kwenye tasnia ya uigizaji. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ akipozi. Akizungumza na Amani, Wolper alisema ameamua kujikita huko kwa sababu ameona Bongo...

 

10 years ago

Mwananchi

Loveness: Natamani niwe mkufunzi wa michezo

Licha ya kuwa ndiye mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa shule za Sekondari (Umisseta) ya msimu huu, Loveness Daudi amekuwa akitumika kama mchezaji kiraka wa Kanda ya Ziwa Magharibi katika mchezo wa netiboli.

 

11 years ago

GPL

PRODYUZA: WEMA ALITAKA NIWE KUWADI

Na Stori: Shakoor Jongo
BAADA  ya kudaiwa kufanya ngono katika magari ya Kampuni ya Endless Fame inayoongozwa na Wema Issac Sepetu, Prodyuza, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ amefunguka na kusema chanzo cha yote ni mshahara  na ukuwadi ndani ya kampuni hiyo wala siyo uzinzi, Amani linakujuza. Prodyuza Rashid Mohammed ‘Chid Classic’. Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili, Chid amesema hajafukuzwa...

 

9 years ago

Mwananchi

‘kuandika habari za siasa kumenifanya niwe mbunge’

“Wakati nikiwa mwanafunzi, sikuwahi hata kuota ndoto kama kuna siku nitakuwa mbunge, fikra hizo zilinijia wakati nikiwa mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi nilipobobea kuripoti habari za siasa na uchaguzi.”

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mr. Blue: Tangu niwe na familia nimebadilika sana

HERRY Sameer  maarufu kama  Mr. Blue ni mmoja kati ya wasanii wa muda mrefu ambao bado wanafanya muziki na wenye mashabiki wengi ndani na nje ya nchi.

Alipata  umaarufu baada ya kutoa  wimbo  uitwao ‘Mr. Blue’ ambao ulimjengea jina katika  tasnia ya muziki wa Bongo fleva  na kuendelea kutoa nyimbo nyingine kama Mapozi zilizofanya vizuri kwenye chati  za muziki huo.

Kazi za Mr.Blue bado  zinakubalika ikiwa  siku hizi amejikita zaidi kwenye muziki wa Hip Hop akiwa na kundi lao la...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole: Nuh Mziwanda Amenifanya Niwe Msichana Mwema

Shilole amesema yeye ni ‘bad girl gone good’ thanks kwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.

Shilole anadai Nuh amembadilisha na kumfanya kuwa msichana mtulivu Muimbaji huyo amesema kabla ya kukutana na Nuh Mziwanda alikuwa ‘walu walu.’

Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi, Shilole amesema Nuh amembadilisha kwa kiasi kikubwa na kwamba hajawahi kusaliti penzi lao. Shilole akiwa kwenye kipindi cha Mkasi “Kabla sijawa na Nuh ndio nilikuwa walu walu, yeye ndio amenibadilisha.

Baada ya kukutana naye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani