Niwe wa mwisho kumpa 5 Malinzi
TANGU uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani, umekuwa ukifanya hiki na kile kwa lengo la kuyafikia malengo yake ya kuinua kiwango...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Nitakuwa wa mwisho kumpa tano Mzee Muhidin Ndolanga
MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi zilizo chini ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), iliyoanza Novemba 27 ilifikia tamati Desemba 12, Nairobi, Kenya. Mbio...
10 years ago
StarTV08 May
Malinzi aagiza usimamizi mechi za mwisho VPL
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewaagiza wasimamizi wa vituo vya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuhakikisha sheria na taratibu zote za mechi zinafuatwa.
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu huu 2014/2015 inafikia tamati kesho (Mei 9, 2015) ambapo timu zote 14 zitakuwa viwanjani katika mechi ambazo ndizo zitakazotoa hatma ya timu zinazoshuka daraja.
Mechi hizo zitakuwa kati ya Ndanda na Yanga (Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara), JKT Ruvu na Simba (Uwanja wa...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Bayi: Uwindaji ulinifanya niwe mwanariadha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL*tpL0LX2RaxEPPRx6Q0pcR9wzjmf34ODdqtRAPUnkgw7hqeg0aqKG2uj8W4Czrh*jRoF1z--o72Zip0OmKWiiq/Wolper.jpg)
WOLPER: BORA NIWE FUNDI NGUO
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Loveness: Natamani niwe mkufunzi wa michezo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpxUBYxPpbnQkTVrFmI6ZE*t7KE7Qn99bVk*KHF6H9ugHAvddrQJq5JMbUqo5SbBcjnHAKY8mgKOnWLDajzuY5fX/wema.jpg?width=650)
PRODYUZA: WEMA ALITAKA NIWE KUWADI
9 years ago
Mwananchi23 Dec
‘kuandika habari za siasa kumenifanya niwe mbunge’
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Mr. Blue: Tangu niwe na familia nimebadilika sana
HERRY Sameer maarufu kama Mr. Blue ni mmoja kati ya wasanii wa muda mrefu ambao bado wanafanya muziki na wenye mashabiki wengi ndani na nje ya nchi.
Alipata umaarufu baada ya kutoa wimbo uitwao ‘Mr. Blue’ ambao ulimjengea jina katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva na kuendelea kutoa nyimbo nyingine kama Mapozi zilizofanya vizuri kwenye chati za muziki huo.
Kazi za Mr.Blue bado zinakubalika ikiwa siku hizi amejikita zaidi kwenye muziki wa Hip Hop akiwa na kundi lao la...
10 years ago
Bongo Movies12 Jul
Shilole: Nuh Mziwanda Amenifanya Niwe Msichana Mwema
Shilole amesema yeye ni ‘bad girl gone good’ thanks kwa mpenzi wake, Nuh Mziwanda.
Shilole anadai Nuh amembadilisha na kumfanya kuwa msichana mtulivu Muimbaji huyo amesema kabla ya kukutana na Nuh Mziwanda alikuwa ‘walu walu.’
Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi, Shilole amesema Nuh amembadilisha kwa kiasi kikubwa na kwamba hajawahi kusaliti penzi lao. Shilole akiwa kwenye kipindi cha Mkasi “Kabla sijawa na Nuh ndio nilikuwa walu walu, yeye ndio amenibadilisha.
Baada ya kukutana naye...