Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mr. Blue: Tangu niwe na familia nimebadilika sana

HERRY Sameer  maarufu kama  Mr. Blue ni mmoja kati ya wasanii wa muda mrefu ambao bado wanafanya muziki na wenye mashabiki wengi ndani na nje ya nchi.

Alipata  umaarufu baada ya kutoa  wimbo  uitwao ‘Mr. Blue’ ambao ulimjengea jina katika  tasnia ya muziki wa Bongo fleva  na kuendelea kutoa nyimbo nyingine kama Mapozi zilizofanya vizuri kwenye chati  za muziki huo.

Kazi za Mr.Blue bado  zinakubalika ikiwa  siku hizi amejikita zaidi kwenye muziki wa Hip Hop akiwa na kundi lao la...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jb: Mzee wa Swaga Ndio Movie Yangu Ninayoipenda Sana Tangu Niaze Kuigiza

Mwigizaji  na muongozaji wa fiamu hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameitaja filamu ya Mzee wa Swaga kua ndio bora zaidi kati ya filamu zake zote tangu aanze kuigiza.

“Kosa la defence ...ni goli....nafasi ya 1.ndugu zangu. Tangu nianze kuigiza hii movie naipenda sanaaa....”-JB aliandika.

Wakati  ya filamu ya Mzee wa Swaga ambayo imetoka mwanzoni mwa mwaka huu akiitaja kuwa namba moja, namba mbili ilikwenda kwa  filamu yake  ya 14 Days, tatu,  Senior Bachelor , nne, DJ Ben,  huku tano akiitaja...

 

9 years ago

Vijimambo

FAMILIA YA ELIABU MWISA INAKUMBUKA MIAKA KUMI (10) TANGU KUTOKWA NA MAMA MPENDWA SUBILAGA KISYALA (2005-2015)

SASA ni miaka kumi Tangu alipo tutoka mpendwa wetu Subilaga Kisyala mwaka 2005 Agosti Familia, Ndugu, na Jamaa tutakukumbuka Daima Kwa mema uliyo tutendea ulupo kuwa hai, Alizaliwa mwaka 1968 na kufariki 2005 
Mpendwa wetu uliondoka na kuacha Baba na watoto wake Watano walio kuwa bado wanahitaji huruma na upendo wako, Daima hautafutika katika akili zao hakuna kama mama hakika upendo wa mama katika maisha ya kila siku unahitajika sana,
Wanapo sema kila alipo Mama mmoja kuna mafanikio hilo...

 

9 years ago

Michuzi

SIKU YA FAMILIA YA GAPCO TANZANIA YAFANA SANA

Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya GAPCO Tanzania, Vijay Nair (wa tatu kushoto) akikabidhi kikombe cha ushindi wa kuvuta kamba kwa timu ya kitengo cha uendeshaji baada ya kuibuka kidedea katika mashindano ya kuvuta kamba katika hafla ya Gapco Family Day, liliyofanyika mwishoni kwa wiki, Escape One, Jijini Dar es salaam. Wafanyakazi GAPCO pamoja na familia zao wakishiriki kucheza Zumba Dance kwenye siku ya familia ya GAPCO, iliyofanyika mwishoni kwa wiki, Escape One, Jijini Dar es salaam. 

 

9 years ago

Bongo5

Music: Ama G – Nimebadilika

59ecd0dc-6b19-4fc3-a29a-b2e43b1c3d49

Wimbo mpya wa msanii Ama G unaitwa “Nimebadilika”. Producer Maneck

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Mozeh Thomas – Nimebadilika

Mozeh cover

Baada ya kuachia video ya wimbo wake mpya ‘Nimebadilika’ Jumatatu wiki hii, Mozeh Thomas ameachia audio yake. Wimbo huo umetayarishwa na producer Nusder chini ya studio ya Sweseka Production ya Dar es salaam. Mozeh ni msanii anayechipukia kutoka jijini Mwanza.

Mozeh cover

NIMEBADILIKA

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Mozeh Thomas – Nimebadilika

mozeh

Mozeh Thomas ni msanii mpya kwenye kiwanda cha muziki cha Bongo fleva kutoka Rock City, Mwanza ambaye ameachia rasmi video ya kazi yake ya kwanza ‘Nimebadilika’. Video imefanywa na Man Rasheed na Khalfani na wimbo umetayarishwa na producer Nusder. Mozeh yupo chini ya Sweseka Production ya jijini Dar es salaam.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niwe wa mwisho kumpa 5 Malinzi

TANGU uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi uingie madarakani, umekuwa ukifanya hiki na kile kwa lengo la kuyafikia malengo yake ya kuinua kiwango...

 

10 years ago

GPL

WOLPER: BORA NIWE FUNDI NGUO

Shani Ramadhani Na Mayasa Mariwata/Amani
STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ ameamua kuanika ukweli kuwa sasa hivi anataka kuwa fundi wa kushona nguo ili kuepukana na ‘masnichi’ waliopo kwenye tasnia ya uigizaji. Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Wolper’ akipozi. Akizungumza na Amani, Wolper alisema ameamua kujikita huko kwa sababu ameona Bongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani