New Video: Mozeh Thomas – Nimebadilika
Mozeh Thomas ni msanii mpya kwenye kiwanda cha muziki cha Bongo fleva kutoka Rock City, Mwanza ambaye ameachia rasmi video ya kazi yake ya kwanza ‘Nimebadilika’. Video imefanywa na Man Rasheed na Khalfani na wimbo umetayarishwa na producer Nusder. Mozeh yupo chini ya Sweseka Production ya jijini Dar es salaam.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
9 years ago
Bongo518 Dec
New Music: Mozeh Thomas – Nimebadilika

Baada ya kuachia video ya wimbo wake mpya ‘Nimebadilika’ Jumatatu wiki hii, Mozeh Thomas ameachia audio yake. Wimbo huo umetayarishwa na producer Nusder chini ya studio ya Sweseka Production ya Dar es salaam. Mozeh ni msanii anayechipukia kutoka jijini Mwanza.
9 years ago
Bongo528 Dec
Video: Sarkodie ft. Pat Thomas – Bra

Ghanaian rapper, Sarkodie has released new video to his song titled ‘Bra’. ‘Bra’ is off his new album called ‘Mary’ The song also features Pat Thomas. The video was directed by Nana Kofi Asihene.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo507 Nov
Video: Joe Thomas afanya cover ya wimbo mpya wa Adele ‘Hello’

Inawezekana umeshakutana na ‘cover’ kadhaa za hit song mpya ya Adele ‘Hello’, ambayo imevunja rekodi mbalimbali toka ilipotoka October 23. Mwimbaji mkongwe wa RnB Joe Thomas wa Marekani naye amefanya cover ya wimbo huo, isikilize hapa.
Maana ya ‘cover song’:
In popular music, a cover version or cover song, or simply cover, is a new performance or recording of a previously recorded, commercially released song by someone other than the original artist or composer.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Bongo521 Nov
Music: Ama G – Nimebadilika

Wimbo mpya wa msanii Ama G unaitwa “Nimebadilika”. Producer Maneck
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Mr. Blue: Tangu niwe na familia nimebadilika sana
HERRY Sameer maarufu kama Mr. Blue ni mmoja kati ya wasanii wa muda mrefu ambao bado wanafanya muziki na wenye mashabiki wengi ndani na nje ya nchi.
Alipata umaarufu baada ya kutoa wimbo uitwao ‘Mr. Blue’ ambao ulimjengea jina katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva na kuendelea kutoa nyimbo nyingine kama Mapozi zilizofanya vizuri kwenye chati za muziki huo.
Kazi za Mr.Blue bado zinakubalika ikiwa siku hizi amejikita zaidi kwenye muziki wa Hip Hop akiwa na kundi lao la...
10 years ago
GPL
STARA THOMAS AFUMANIWA!
11 years ago
BBCSwahili31 Aug
11 years ago
IPPmedia24 Feb
Clerk of the National Assembly, Dr Thomas Kashilila
IPPmedia
IPPmedia
Nearly a week after the Constituent Assembly (CA) started in Dodoma, 42 members out of the required 629 are yet to report. Speaking to The Guardian yesterday in the nation's capital Dodoma, Clerk of the National Assembly, Dr Thomas Kashilila said only ...