Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Ama G – Nimebadilika

59ecd0dc-6b19-4fc3-a29a-b2e43b1c3d49

Wimbo mpya wa msanii Ama G unaitwa “Nimebadilika”. Producer Maneck

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Music: Mozeh Thomas – Nimebadilika

Mozeh cover

Baada ya kuachia video ya wimbo wake mpya ‘Nimebadilika’ Jumatatu wiki hii, Mozeh Thomas ameachia audio yake. Wimbo huo umetayarishwa na producer Nusder chini ya studio ya Sweseka Production ya Dar es salaam. Mozeh ni msanii anayechipukia kutoka jijini Mwanza.

Mozeh cover

NIMEBADILIKA

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Mozeh Thomas – Nimebadilika

mozeh

Mozeh Thomas ni msanii mpya kwenye kiwanda cha muziki cha Bongo fleva kutoka Rock City, Mwanza ambaye ameachia rasmi video ya kazi yake ya kwanza ‘Nimebadilika’. Video imefanywa na Man Rasheed na Khalfani na wimbo umetayarishwa na producer Nusder. Mozeh yupo chini ya Sweseka Production ya jijini Dar es salaam.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mr. Blue: Tangu niwe na familia nimebadilika sana

HERRY Sameer  maarufu kama  Mr. Blue ni mmoja kati ya wasanii wa muda mrefu ambao bado wanafanya muziki na wenye mashabiki wengi ndani na nje ya nchi.

Alipata  umaarufu baada ya kutoa  wimbo  uitwao ‘Mr. Blue’ ambao ulimjengea jina katika  tasnia ya muziki wa Bongo fleva  na kuendelea kutoa nyimbo nyingine kama Mapozi zilizofanya vizuri kwenye chati  za muziki huo.

Kazi za Mr.Blue bado  zinakubalika ikiwa  siku hizi amejikita zaidi kwenye muziki wa Hip Hop akiwa na kundi lao la...

 

9 years ago

GPL

WAMEROGWA AMA?

Jux na Vee Money. Andrew Carlos PATA picha upo eneo tulivu, masikioni umeweka ‘headphones’ na unasikiliza nyimbo za wakali wa muziki Bongo, unaanza na nyimbo za Juma Musa ‘Jux’ kisha unafuatia za mkali wa Hip Hop, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’.Hamu inakuwa haijaisha vizuri kwa upande wa Hip Hop, unaamua kusikiliza nyimbo za Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ kisha unachukuwa juisi na kumalizia fundo la mwisho. Nikki wa...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Ama G — Anatamani

Kazi Mpya kutoka kwa msanii Ama G wimbo unaitwa “Anatamani” video imeongozwa director Nisher

 

9 years ago

Mwananchi

Sukari ama chumvi?

Nakuomba editori, utangaze vitu hivi, Naandika ushairi, kwa furaha si ugomvi, Asili ya kusubiri, ni utowe utauvi, Ama sukari na chumvi, chumvi ni kitu muhimu.

 

10 years ago

Vijimambo

Zitto: Mwisho ama mwanzo.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Kabwe Zitto, jana alitangaza kujiuzulu ubunge kwa kusambaza waraka kwa vyombo vya habari.

Baadaye Zitto alikwenda bungeni katika kikao cha jioni kwa ajili ya kuwaaga wabunge wenzake na kuwaeleza sababu za uamuazi wake.

Hata hivyo, kabla ya kuwasili bungeni akisubiri kupewa fursa ya kuwaaga wabunge, aliwaeleza waandishi wa habari kwamba Spika wa Bunge, Anne Makinda amemzuia kuchukua uamuzi huo na kwamba yeye (Zitto) alikuwa akiendelea kumshawishi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,ni Wellbeck ama Van Persie?

Je,Welbeck atageuka na kuwa mwiba dhidi ya kilabu yake ya zamani?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani