Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sukari ama chumvi?

Nakuomba editori, utangaze vitu hivi, Naandika ushairi, kwa furaha si ugomvi, Asili ya kusubiri, ni utowe utauvi, Ama sukari na chumvi, chumvi ni kitu muhimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

10 years ago

Habarileo

Chumvi yateketezwa

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa TBS, Roida AndusamileSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeteketeza tani moja na nusu ya chumvi ya Sea Salt, inayozalishwa na Kampuni ya Sea Salt Food Limited ya Bagamoyo mkoani Pwani, kutokana na kuwa chini ya kiwango cha ubora kinachotakiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazalishaji chumvi watengewa mil 62/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi imetenga sh. milioni 62.8 kwa ajili ya kuwakopesha kinamama na vijana wanaozalisha chumvi kwa mwaka wa fedha 2014/15. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa udhibiti wa chumvi kwenye mlo

Mwili wa binadamu usipopata chumvi, hauna uhai. Chumvi ni chanzo muhimu cha madini ya sodium ambayo ni muhimu sana katika mwili.

 

9 years ago

Habarileo

‘Ichagueni CCM ilete viwanda vya chumvi’

WAKAZI wa Mji wa Lindi wameshauriwa kukipigia kura Chama Cha Mapinduzi (CCM) kishinde, kilete viwanda vya kusindika chumvi na kuiongezea thamani.

 

10 years ago

Mwananchi

TBS yateketeza chumvi tani moja na nusu

Shirika  la Viwango Tanzania TBS limeteketeza  chumvi ya tani 1.5 yenye thamani ya shilingi 500,000 kutoka kampuni ya Seasalt baada ya kugundulika kutokidhi viwango .

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto achanwa viwembe, vidonda vyawekwa chumvi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard PauloPOLISI mkoani hapa wanamshikilia Tausi Omary (30), mkazi wa kata ya Chamwino, Manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kujeruhi mtoto wa dada yake, Jafari Mashaka (11) kwa kumchanachana mguuni kwa wembe na kisha kuweka chumvi kwenye vidonda, kwa madai ya kumwimbia fedha kiasi cha Sh 4,500.

 

10 years ago

Habarileo

TBS yafunga kiwanda cha chumvi Bagamoyo

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limefunga kwa muda usiojulikana kiwanda cha kuzalisha chumvi cha mjini hapa, Sea Salt Limited kutokana na udanganyifu na uzalishaji wa chumvi chafu, yenye kiwango kidogo cha madini joto.

 

10 years ago

Mwananchi

Acha kula chumvi nyingi kuepuka maradhi ya moyo

Wiki hii katika sekta ya afya ilikuwa na pilika nyingi zinazohusiana na matatizo ya moyo ambayo katika miaka ya karibuni limekuwa ni tatizo kubwa katika jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani