Acha kula chumvi nyingi kuepuka maradhi ya moyo
Wiki hii katika sekta ya afya ilikuwa na pilika nyingi zinazohusiana na matatizo ya moyo ambayo katika miaka ya karibuni limekuwa ni tatizo kubwa katika jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Namna ya kukabili maradhi ya moyo
Maradhi ya moyo yanajumuisha kupanda kwa shinikizo la damu, kuziba kwa mishipa ya moyo, mshtuko wa moyo, kupungua uwezo wa utendaji wa moyo na moyo kushindwa kusukuma damu ya kutosha.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-owHi94nc9-c/VZn7xM8cTJI/AAAAAAADwwk/C6Y-KtctV6Q/s72-c/FullSizeRender.jpg)
DALLAS WE ACHA TU NI KULA BATA MPAKA KUKU WANAONA WIVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-owHi94nc9-c/VZn7xM8cTJI/AAAAAAADwwk/C6Y-KtctV6Q/s640/FullSizeRender.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AGPVMss2gFw/VZn7xJPofpI/AAAAAAADwwg/V2KTbgQl34s/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xb8qoKgt_e4/VZn7xB8j1cI/AAAAAAADww0/LsXdYv4sArk/s640/FullSizeRender_2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsukbo4pASH22mxbhSUzJTux3J-Of6JFmBLM-3lNHNCIfwkHONMDMGq5A664jHUQ8H*z0WuX-XqsBOK7P0lwptB7u/mahaba.jpg)
ACHA KUMUUMIZA MOYO WAKE, THAMINI HISIA ZAKE!-2
KARIBU kwenye All About Love, bila shaka kuna vitu vipya vingi unavyovuna katika ukurasa huu. Kama ni mara ya kwanza kusoma hapa, tabasamu maana umeingia kwenye ulimwengu wa elimu kubwa ya uhusiano na mapenzi. Unaweza kunisoma pia kwenye Let’s Talk About Love kwenye gazeti la Ijumaa, Elimu ya Mapenzi katika gazeti la Championi Jumamosi na Love & Life ndani ya gazeti la Uwazi kila Jumanne. Ungana nami uzidi kukuza ufahamu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SSGieiaE-NM4FtoB0o6QB8R-zeG54Kzc3c8mKm9tj1uRGhFAmgLHi4ZRBkxXuV1H1Zo*NcQtNdgIw6oG1PXZlTuMiR2MWw-W/unnamed41.jpg?width=650)
TANZANIA KUTIBU MARADHI YA MOYO BILA KUFANYA UPASUAJI
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifanya kazi yao na kuelekezwa namna (Cath Lab) mtambo wa kufanya uchunguzi na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo na pia kuziba matundu ndani ya moyo bila kufungua kifua. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Prof. Jameel Alata ambaye ni Daktari Mwelekezi wa Magonjwa ya Watoto...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Tendo la ndoa; Tiba mbadala ya maradhi ya moyo, ubongo, maumivu ya kichwa?
>Ingawa tendo la ndoa lisipofanywa kwa kuzingatia kanuni na taratibu, sambamba na umakini, linaweza kusababisha maradhi, lakini kwa wanandoa, tendo hilo linatajwa kuwa na manufaa mengi kiafya tofauti na faraja ya kawaida iliyozoeleka kwa wengi.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-27Yz_U3WLws/VND7wh-g88I/AAAAAAADXTI/1D2TLUggT04/s72-c/ZARII8900.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Hifadhi nyingi barani Afrika zafungwa kuepuka maambukizi kwa nyani
Haijulikani kama nyani hao wanaweza kuambukizwa virusi vya corona, lakini kuna wasiwasi kuwa wanyama hao wanaweza kuwa hatarini sawa na binaadamu.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N6WFUQDvW7g/VeNuWL0zffI/AAAAAAAH1FQ/dhAyV90CO-k/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Daktari Bingwa Mshauri maradhi ya Moyo kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Kimataifa nchini Uingereza Leo
Daktari wa Kwanza Bingwa Mshauri wa Maradhi ya Moyo kutoka Hospitali ya Rufaa ya Morogoro nchini Tanzania Dr.Harun Elmada Nyagori azawadiwa Tuzo ya Kimataifa na kutambuliwa na Baraza la Madaktari Bingwa wa shirikisho la Nchi za Ulaya(European Society of Cardiology) -London Uingereza'Akipewa hiyo Tuzo ya Heshima na Rais wa Shirikisho Hilo Prof.Pinto alimwelezea imekuwa Historia kubwa kumpata Daktari aliyewakilisha Mada za Utafiti wa Maradhi ya Moyo kutoka Tanzania na hawajawahi kumpata...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania