Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Acha kula chumvi nyingi kuepuka maradhi ya moyo

Wiki hii katika sekta ya afya ilikuwa na pilika nyingi zinazohusiana na matatizo ya moyo ambayo katika miaka ya karibuni limekuwa ni tatizo kubwa katika jamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili maradhi ya moyo

Maradhi ya moyo yanajumuisha kupanda kwa shinikizo la damu, kuziba kwa mishipa ya moyo, mshtuko wa moyo, kupungua uwezo wa utendaji wa moyo na moyo kushindwa kusukuma damu ya kutosha.

 

10 years ago

Vijimambo

DALLAS WE ACHA TU NI KULA BATA MPAKA KUKU WANAONA WIVU

 Wadau wakiwa wamekutana kwenye mgahawa wa Africa Fusion uliopo Dallas, Texas kupata menyu siku ya Jumamosi July 4, 2015 Wadau wakipata picha ya pamoja ndani ya mgahawa wa Africa Fusion. Andrew(kulia) akipaya picha na Mpwa. Wadau wa Dallas wakiwa kwenye nyama choma siku ya Jumapili July 5, 2015. Wadau wa Dallas wakipata picha ya pamoja. kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

GPL

ACHA KUMUUMIZA MOYO WAKE, THAMINI HISIA ZAKE!-2

KARIBU kwenye All About Love, bila shaka kuna vitu vipya vingi unavyovuna katika ukurasa huu. Kama ni mara ya kwanza kusoma hapa, tabasamu maana umeingia kwenye ulimwengu wa elimu kubwa ya uhusiano na mapenzi. Unaweza kunisoma pia kwenye Let’s Talk About Love kwenye gazeti la Ijumaa, Elimu ya Mapenzi katika gazeti la Championi Jumamosi na Love & Life ndani ya gazeti la Uwazi kila Jumanne. Ungana nami uzidi kukuza ufahamu...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA KUTIBU MARADHI YA MOYO BILA KUFANYA UPASUAJI

Baadhi ya Waandishi wa habari wakifanya kazi yao na kuelekezwa namna (Cath Lab) mtambo wa kufanya uchunguzi na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo na pia kuziba matundu ndani ya moyo bila kufungua kifua. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Prof. Jameel Alata ambaye ni Daktari Mwelekezi wa Magonjwa ya Watoto...

 

11 years ago

Mwananchi

Tendo la ndoa; Tiba mbadala ya maradhi ya moyo, ubongo, maumivu ya kichwa?

>Ingawa tendo la ndoa lisipofanywa kwa kuzingatia kanuni na taratibu, sambamba na umakini, linaweza kusababisha maradhi, lakini kwa wanandoa, tendo  hilo linatajwa kuwa na manufaa mengi  kiafya tofauti na faraja ya kawaida iliyozoeleka kwa wengi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hifadhi nyingi barani Afrika zafungwa kuepuka maambukizi kwa nyani

Haijulikani kama nyani hao wanaweza kuambukizwa virusi vya corona, lakini kuna wasiwasi kuwa wanyama hao wanaweza kuwa hatarini sawa na binaadamu.

 

9 years ago

Michuzi

Daktari Bingwa Mshauri maradhi ya Moyo kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Kimataifa nchini Uingereza Leo

Daktari wa Kwanza Bingwa Mshauri wa Maradhi ya Moyo kutoka Hospitali ya Rufaa ya Morogoro nchini Tanzania Dr.Harun Elmada Nyagori azawadiwa Tuzo ya Kimataifa na kutambuliwa na Baraza la Madaktari Bingwa wa shirikisho la Nchi za Ulaya(European Society of Cardiology) -London Uingereza'Akipewa hiyo Tuzo ya Heshima na Rais wa Shirikisho Hilo Prof.Pinto alimwelezea imekuwa Historia kubwa kumpata Daktari aliyewakilisha Mada za Utafiti wa Maradhi ya Moyo kutoka Tanzania na hawajawahi kumpata...

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani