TANZANIA KUTIBU MARADHI YA MOYO BILA KUFANYA UPASUAJI
![](http://api.ning.com:80/files/SSGieiaE-NM4FtoB0o6QB8R-zeG54Kzc3c8mKm9tj1uRGhFAmgLHi4ZRBkxXuV1H1Zo*NcQtNdgIw6oG1PXZlTuMiR2MWw-W/unnamed41.jpg?width=650)
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifanya kazi yao na kuelekezwa namna (Cath Lab) mtambo wa kufanya uchunguzi na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo na pia kuziba matundu ndani ya moyo bila kufungua kifua. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Prof. Jameel Alata ambaye ni Daktari Mwelekezi wa Magonjwa ya Watoto...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Hospitali ya Bugando sasa mbioni kufanya upasuaji wa moyo
9 years ago
MichuziMABALOZI WAIPONGEZA TAASISI YA JKCI KWA KUFANYA UPASUAJI WA MOYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile awapongeza wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kufanya upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG)
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N6WFUQDvW7g/VeNuWL0zffI/AAAAAAAH1FQ/dhAyV90CO-k/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Daktari Bingwa Mshauri maradhi ya Moyo kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Kimataifa nchini Uingereza Leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI2552.jpg)
Benki ya CRDB yaichangia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete sh. milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s640/OTMI2552.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ofaNsobsXQ/XqqlMLa7SXI/AAAAAAALooU/BEw8MdRgB8Q0KyOtrrq6LnzGPBfNhVCtQCLcBGAsYHQ/s640/OTMI2559.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g1FwuFeGxMk/VU3fGRRoweI/AAAAAAAHWaU/EqgqdWyPm0g/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
TANZANIA YAANDIKA HISTORIA NYINGINE KWA KUZIBA MATUNDU YA MOYO BILA KUFUNGUA KIFUA
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Namna ya kukabili maradhi ya moyo
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Matangazo ya ‘kutibu’ ukimwi yawavunja moyo watafiti
MATANGAZO ya waganga wa jadi wanaotibu ukimwi kwa dawa za asili, yanawavunja moyo watafiti na wanasayansi wanaoendelea kutafuta tiba ya ugonjwa huo. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Tanga,...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Acha kula chumvi nyingi kuepuka maradhi ya moyo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10