Matangazo ya ‘kutibu’ ukimwi yawavunja moyo watafiti
MATANGAZO ya waganga wa jadi wanaotibu ukimwi kwa dawa za asili, yanawavunja moyo watafiti na wanasayansi wanaoendelea kutafuta tiba ya ugonjwa huo. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Tanga,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanaodai kutibu Ukimwi kukiona
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeagiza vyombo vya dola, kukamata waganga wa jadi, wanaojitangaza kutibu magonjwa ya Ukimwi, kisukari na shinikizo la damu. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alipokuwa akiwasilisha bungeni hotuba ya bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2014/15.
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Wanasayansi wabaini njia mpya ya kutibu Ukimwi
10 years ago
GPLTANZANIA KUTIBU MARADHI YA MOYO BILA KUFANYA UPASUAJI
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Sababu 10 zinazotia moyo dawa mpya ya Ukimwi
5 years ago
CCM BlogTAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...
5 years ago
Michuzi9 years ago
MichuziMADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...
9 years ago
VijimamboMadaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...
10 years ago
MichuziWafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo